Tukifika chumban tu,habar inabadilika

Tukifika chumban tu,habar inabadilika

Kafuta

Senior Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
119
Reaction score
29
Msaada tafahar..mm ni he nina girlfrnd wangu miez miwil sasa imepita,tatizo linakuja kila tumapokubaliana kugegedana yeye hubadilika gafla na hapo kunako bed hugeuka uwanya wa fujo au vita kabisa yaan anang'ata balaa..mwanzo nilizani ni utan nikavumilia lkn sasa nimerealize kua anakua serious..maana kuna cku alitaka kuondoka na sikio langu.na mara zote nimekua namwacha,yaan bila bila..tatizo nampenda..ila cjui kwa nn yupo hvyo.naomba mwenye kujua mambo kama hayo anijuze cha kufanya..
 
Huwa kwa kawaida akikung'ata na wewe unamng'ata.......inabaki kuwa uwanja wa ng'atang'ata......
 
wakati mna do ndia yanatokea hayo!!!!!!!!!!!!!

au ni Defense mechanism yake wewe kutokum DO!!!!
 
Msaada tafahar..mm ni he nina girlfrnd wangu miez miwil sasa imepita,tatizo linakuja kila tumapokubaliana kugegedana yeye hubadilika gafla na hapo kunako bed hugeuka uwanya wa fujo au vita kabisa yaan anang'ata balaa..mwanzo nilizani ni utan nikavumilia lkn sasa nimerealize kua anakua serious..maana kuna cku alitaka kuondoka na sikio langu.na mara zote nimekua namwacha,yaan bila bila..tatizo nampenda..ila cjui kwa nn yupo hvyo.naomba mwenye kujua mambo kama hayo anijuze cha kufanya..


miwzi miwili tu..kweli WATU MWAPENDA NGONO. mmeshapima? kama kweli ni gf wako
 
ipo siku atakubadilikia atakuwa zombie kabisa ndio hapo utakapojua uzinzi si kitu chema!
 
Msaada tafahar..mm ni he nina girlfrnd wangu miez miwil sasa imepita,tatizo linakuja kila tumapokubaliana kugegedana yeye hubadilika gafla na hapo kunako bed hugeuka uwanya wa fujo au vita kabisa yaan anang'ata balaa..mwanzo nilizani ni utan nikavumilia lkn sasa nimerealize kua anakua serious..maana kuna cku alitaka kuondoka na sikio langu.na mara zote nimekua namwacha,yaan bila bila..tatizo nampenda..ila cjui kwa nn yupo hvyo.naomba mwenye kujua mambo kama hayo anijuze cha kufanya..

Mpeleke hospital wakamuangalie tena milembe
 
Duh! Hapo mnatakiwa kutafuta wakati mmetulia umdodose kinachomfanya yeye kuwa ivo
 
Msaada tafahar..mm ni he nina girlfrnd wangu miez miwil sasa imepita,tatizo linakuja kila tumapokubaliana kugegedana yeye hubadilika gafla na hapo kunako bed hugeuka uwanya wa fujo au vita kabisa yaan anang'ata balaa..mwanzo nilizani ni utan nikavumilia lkn sasa nimerealize kua anakua serious..maana kuna cku alitaka kuondoka na sikio langu.na mara zote nimekua namwacha,yaan bila bila..tatizo nampenda..ila cjui kwa nn yupo hvyo.naomba mwenye kujua mambo kama hayo anijuze cha kufanya..

we hujamjulia tu...ni hivi unafahamu ubapa wa panga?
Kama unafahamu basi unampa kama tatu za mgongo, trust me atatoa mwenyewe kiulaaaaiiiini mpaka we mwenyewe utafurahi...
 
huyo ana kichaa cha ngono kama ilivyo kichaa cha mimba mpeleke haraka kupata matibabu ,ipo siku ataondoka na dushelele
 
badili staili tumia chuma mboga ili ajing'ate mwenyewe
 
Angalia tu usijempa BJ akanyofoa kifanyio chako...
 
Msaada tafahar..mm ni he nina girlfrnd wangu miez miwil sasa imepita,tatizo linakuja kila tumapokubaliana kugegedana yeye hubadilika gafla na hapo kunako bed hugeuka uwanya wa fujo au vita kabisa yaan anang'ata balaa..mwanzo nilizani ni utan nikavumilia lkn sasa nimerealize kua anakua serious..maana kuna cku alitaka kuondoka na sikio langu.na mara zote nimekua namwacha,yaan bila bila..tatizo nampenda..ila cjui kwa nn yupo hvyo.naomba mwenye kujua mambo kama hayo anijuze cha kufanya..

acha ngono zembe. Inakuwa tamu zaidi baada ya kufunga ndoa, huyo girlfriend wako yupo sawa kukataa. Kuwa mvumilivu, mara nyingi mwenye subira ndiye anaekula vitamu.
 
Baada ya kusoma tu nikagundua kwamba ni teenager.
Shenz ebu soma huko acha ujinga
 
Huyo girl friend wako anatokea wapi(mkoa)kuna mkoa mmoja wa nyanda za juu kusini lazima umchanie c*****p bila hivyo hupati K,then nitakuja kucomment!!!!sorry kama nitawakwaza watu humu jamvini.
 
Back
Top Bottom