Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,988
Baada ya kumalizana na Blue for Men now nimeamia kwa Chris Adam's na huu mzigo wake wa rebellion elfu 20 tuu kila mtu anauza unatumia perfume gani View attachment 1563535
Una-order kutoka store gani na mzigo naweza kuupokelea posta!?Una order UK then you receive after three weeks
Upo kiongozi wanguUpo km mieeeeeh, yaaan hata jelly za kawaida natumia basi tyuuuuh, ila hata sizikubali lol
Balaa gani tenaHii nikipulizia huwa inaleta balaa
View attachment 1426124
View attachment 360643
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia!!
Mimi natumia Knowledge Perfume,
Ww jee?
Siku hizi nachanganya changanya tu za uchumi wa chini kati.....View attachment 1558403
Yah Dar al shabab ina harufu nzuri sana na pia nikipulizia watu wanaikubali mno. Asante kwa pendekezo nitaitafuta Sheikh al shuyukj au oud wood....Dar al shabab ipo vizuri sana hiyo. Kama ni mpenzi wa smell hizo za kiarabu tafadhali jaribu kutumia sheikh al shuyukh au oud wood. Utakuja kupa asante baadae
Yaan weweSisi tunaotumia sansiro tuna comment wp
Siku hizi nachanganya changanya tu za uchumi wa chini kati.....View attachment 1558403
Tupia picha yake plzNasumbua mjini na kitu cha ECHO sijawahi kujutia kutumia hii bidhaa 30000 ! Nawanyanyasa mjini vibaya mnoooo na hii kitu very amazingly