Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 413
Armani-- code
Nataka kununua isey miyake mtandaon.kwa uzoefu upi mtandao mzuri wa kufanya manunuzi
hii ya ukweli saana
Bro duka liko maeneo gani?nikiwa free nifikeBora ununue hapa hapa. Otherwise cost itazidi kulikoni ungenunua hapa bongo. Bei yake hapa bongo ni 160K wengine wanauza hadi 180K. Ila naweza kukuapatia Original kwa 180K.
Karibu.
mkuu mimi na wewe ni marehemu watarajiwa, unaonaje tukijipulizia kabla ya kupuliziwa tukiwa marehemu kamiliSijipulizii pafyum kwani huwa zinanifanya nijisikie vibaya sababu ni kwakua huwa naona zinatumiwa sana kupulizia mwili wa marehemu inshort sipendi manukato ya aina yoyote ile.
Udv black original.utanipatia kwa ngapi?Bora ununue hapa hapa. Otherwise cost itazidi kulikoni ungenunua hapa bongo. Bei yake hapa bongo ni 160K wengine wanauza hadi 180K. Ila naweza kukuapatia Original kwa 180K.
Karibu.
Ya kiume au kike?38000/= but bei hulingana na muuzaji
Ya kiume?Fighting Temptation ni Habari ya Mjini
Ni udv ipi hiyo.udv black, udv for men, udv actio, udv spot, udv extreme ama ip mkuu?Udv niliitumiaga miaka tisa iliyopita niliiacha sababu inaharufu kali yaani ukiipaka ukaingia sehemu kilamtu anaisikia
Napenda harufu BARIDI
Fighting temptation mostly wanatumia Gents, body spray cku hizi hazipatikani, ipo perfume yake, imenipa heshima sanaYa kiume?