kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,328
- 12,625
Rais Magufuli amenikuna leo kwa kulitamka hili "tujiulize kama taifa tumekosea wapi" Hebu watanzania tumsaidie Rais wetu kumwambia wapi tulikosea.
Mimi naanza mchango wangu kwa kumwambia kuwa kwanza tulipokosea kwa kuwa na katiba mbovu isiyozilinda rasilimali zetu. Tuandike upya katiba yetu.
Mimi naanza mchango wangu kwa kumwambia kuwa kwanza tulipokosea kwa kuwa na katiba mbovu isiyozilinda rasilimali zetu. Tuandike upya katiba yetu.