Tujikumbushe: Udaku wa JF, Miaka 10 iliyopita.

Tujikumbushe: Udaku wa JF, Miaka 10 iliyopita.

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,225
Reaction score
17,649
Hili jukwaa liliwahi kuwa kama familia kabisa.

Leo kwa msaada wa AI chatgpt.
Nimekusanya baadhi ya matoleo yaliowahi kuwika hapa jukwaani.

Moja ya waandishi wakongwe wa Udaku ni mimi mwenyewe, TANMO , uran na Mentor na Baba V.

Pitia baadhi ya Nakala za udaku hapa.





 
Kwamba hizo udaku ni za kweli mkuu??,. Au mlikua mna chit chat?
Hizo ni news zilizokuwa zinaendana na uhalisia wa wakati huo.
Kuna sehemu nyingine kuna hadi ushahidi.
Its like yale matukio ya MMU yanakuwa combined na chitchat inatoka newz.
And it all about jf members as a Community.

Nimejiuliza if i can write again! Nikakuta zama sio zetu tena.
Ni zenu 😃😃
 
Hizo ni news zilizokuwa zinaendana na uhalisia wa wakati huo.
Kuna sehemu nyingine kuna hadi ushahidi.
Its like yale matukio ya MMU yanakuwa combined na chitchat inatoka newz.
And it all about jf members as a Community.

Nimejiuliza if i can write again! Nikakuta zama sio zetu tena.
Ni zenu 😃😃
Mlikua mmechangamka sana kipindi hicho😃😄,.
Habari ni za motooo.. Em tuandikie tena jamani
 
Ulikuwa mdogo sana!
Anyway chitchat ilikuwa kama familia, wengi tulifahamiana na ikawa kimya! Bila mirejesho hasi hapa jukwaani.
12yrs kweli nlikua kadonchoo,.
Ila uzuri ndio hivi jukwaa linatunza kumbukumbu tunasoma kuanzia ya zamani tunafahamu jukwaa lilikua linaendaje😃,.

Sema kidogo mlikua wastaarabu sijaona matusi matusi watu kureact harshly hamna,. Just mnaenjoy tu
 
Baada ya kizazi hiko cha uanafamilia

Kikaja chetu cha kuchomoleana battery na kukosa vifua wakati ule 2016/17 mnatongozana na kuanzisha mahusiano,mnafanya yote yanayofanywa na wapenzi mkikutana,siku mkiachana ni mwendo wa kumwaga mboga na ugali huku JF mlipokutana ...wakati ule usipoingia JF asubuhi ukiingia usiku unakutana na stori za uzi fulani wa fulani na fulani walifanyiana mambo fulani uzi ukafutwa....itoshe kusema kizazi cha 2017-2020 hakina mpinzani

Kuna member mmoja alikuwa ananipa summary kwa uzuri sana huko PM kwa yaliyojiri nisipokuwa humu,anaambatanisha na screenshots na nyuzi za nyuma 😆😆

Hiki kizazi cha sasa cha JF kimepoa sana

Kilichokuwa kinakera kizazi chetu ni kuanzishiana nyuzi za kupendana
 
Back
Top Bottom