Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

1.Athumani kilambo-Baba watoto
2.Boi wickens-kichaa
3.Hassan Gobos-wa Morocco
4.Omar Kapera-Mwamba
6.Gilbert Mahinya-Machine
7.Salum Mwinyimkuu-Carlos
8.Mohamed Hashim-Mkweche
 
1.Makumbi Juma...homa ya jiji
2.Kelvin Yondan...Vidic
3.Nadir Haroub...Canavaro
4.Said Mwamba...Kizota
5.Mohamed Mwameja. Tone
6.Hamis Gaga...Gagarino
7.John Boko Adebayo
8.Mao Mkami...ball dancer
9.Jamuhuri Kiwelu...Julio


Huu uzi sio wa kitoto. At least uwe 35 and above kuuelewa na kubandika picha; ni wa wale wa 1970s-80s wasio kwenye kundi la vijana tena, ni wazee mwenzangu lol.
 
Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom