Tujikumbushe Maproducer wakali wa zamani

Tujikumbushe Maproducer wakali wa zamani

Bonny Luv- Mawingu Studio.
Amit Mento- Agies Record
Miika Mwamba- Fm Studio
Roy Bukuku - G Records.
Akili The Brain- Akili Records
P. Funk Majani- Bongo Records
Master Jay- Mj Records
Joshua Kameta - Kameta Studio
Said Comorien- Metro Studio
Enrico - Soundcrafters

Lakini kuna maproducers walipita katika studio hizi katika vipindi tofauti kama Marlon Linje, Marijani,Prof. Ludigo, Castro Ponela, na John Mahundi. Pia kuna wanamuziki walijaribu kuproduce kwa kipindi flani kama Marehemu Complex,Bodea na Soggy Dog Hunter.

Ila kuna Kizazi cha mwisho cha maproducer kabla hawajawa wengi kama mchele na studio kuongezeka kama bar za Sinza.... Hawa ni kama
Marco Chali wa Kama kawa Records. Dunga, producer Jonas (ukisikiliza ngoma za wakali kwanza utamsikia anatajwa), Downtown Records, Pasu kwa Pasu Records, na Active Record ya Producers Shakii toka kenya.

Hizo zote ilikuwa kabla ya 2008... Enzi hizi kila msanii lazima uje Dar ufuate studio nzuri....labda uende Zanzibar kulikuwa na Jupiter Records na Chuchu na studio yake ya Heartbeats Records.

Sawia mkuu asante sana. Umetukumbusha mbali sana enzi watu walikuwa wanafikiri kuhusu muziki.
 
Bonny Luv- Mawingu Studio.
Amit Mento- Agies Record
Miika Mwamba- Fm Studio
Roy Bukuku - G Records.
Akili The Brain- Akili Records
P. Funk Majani- Bongo Records
Master Jay- Mj Records
Joshua Kameta - Kameta Studio
Said Comorien- Metro Studio
Enrico - Soundcrafters

Lakini kuna maproducers walipita katika studio hizi katika vipindi tofauti kama Marlon Linje, Marijani,Prof. Ludigo, Castro Ponela, na John Mahundi. Pia kuna wanamuziki walijaribu kuproduce kwa kipindi flani kama Marehemu Complex,Bodea na Soggy Dog Hunter.

Ila kuna Kizazi cha mwisho cha maproducer kabla hawajawa wengi kama mchele na studio kuongezeka kama bar za Sinza.... Hawa ni kama
Marco Chali wa Kama kawa Records. Dunga, producer Jonas (ukisikiliza ngoma za wakali kwanza utamsikia anatajwa), Downtown Records, Pasu kwa Pasu Records, na Active Record ya Producers Shakii toka kenya.

Hizo zote ilikuwa kabla ya 2008... Enzi hizi kila msanii lazima uje Dar ufuate studio nzuri....labda uende Zanzibar kulikuwa na Jupiter Records na Chuchu na studio yake ya Heartbeats Records.

Producer jonas alitolewa pale Tanzania regions na jamaa mmoja anaitwa lobi kwenda kuanzisha MID MAN Records pale faya na baadae wakahamia mwenge. Wakati wapo kwenye majaribio wakaona wamchukue kijana mmoja kwa ajili ya majaribio!! Wakamchukua josselin pale faya na ngoma yake ya kwanza tu ikamtoa ngoma flani ilikua inaitwa mshkaji flani kama sikosei. JONAS alikua anakuja vizur sana ila mwenye studio akaifunga na na JONAS akapotea sijui yuko wapi sasa
 
...kulikuwa na producer anaitwa Effector kutoka studio ya Serious Record,sijui kapotelea wapi jamaa. Aliproduce ngoma kama Kazi pesa Matanuzi ya Snare ft. AY na Buff G,akatoa Itikadi Zetu ya East Coast Team (ECT) na nyinginezo....nakumbuka ndipo dogo Stan Boy alipojulikana enzi zile katka chorus za ECT huku akitoa ngoma akitoa zake kama Sweet Girl nk. Nimemkumbuka baada ya kuisikiliza ngoma ya AY ft Stan Boy - mademu watafutaji ambayo.ni mkono wa Effector....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom