Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,666
- 13,444
Mziki wa Hip hop, Rap na Bongofleva ulianza kunajisiwa around 2004 na kupoteza kabisa ladha ya ubunifu, vionjo, burudani na elimu kwa jamii.
Aidha wapo waimbaji wa enzi hizo na wapo watayarishaji wa muziki (Producers) ambao ndio wameufikisha hapa muziki wetu.
Wafuatao ni watayarishaji mahiri wa muziki waliopata kutokea Bongo hii;
1. P. Funky Majani wa Bongo records:
Kawainua wasanii wengi, Nature, Afande Sele, Profesa Jay, Mangwair n.k.
2. Master Jay:
Huyu jamaa hatasahaulika katika kuibua vipaji na kuifikisha muziki hapa ulipo.
3. Mika Mwamba:
Jamaa alikuwa ni mtayarishaji aliemuumiza P. Funk 'Majani' kichwa. Baada ya longolongo za Clouds jamaa alisepa zake ulaya mpaka leo. Ngoma ya Balozi "wengi walikwepo", Salome ya Dully na nyingine nyingi zina ubunifu mkubwa.
4. Roy wa G-records (R.I.P):
Jamaa alikuwa anajua sana.
5. Henrico
6. Said Comorie (vinanda)
List hiyo ruksa kuiendeleza wengine wengi nimewasahau ila hawa wameifanyia kitu tasnia ya muziki huu.
Aidha wapo waimbaji wa enzi hizo na wapo watayarishaji wa muziki (Producers) ambao ndio wameufikisha hapa muziki wetu.
Wafuatao ni watayarishaji mahiri wa muziki waliopata kutokea Bongo hii;
1. P. Funky Majani wa Bongo records:
Kawainua wasanii wengi, Nature, Afande Sele, Profesa Jay, Mangwair n.k.
2. Master Jay:
Huyu jamaa hatasahaulika katika kuibua vipaji na kuifikisha muziki hapa ulipo.
3. Mika Mwamba:
Jamaa alikuwa ni mtayarishaji aliemuumiza P. Funk 'Majani' kichwa. Baada ya longolongo za Clouds jamaa alisepa zake ulaya mpaka leo. Ngoma ya Balozi "wengi walikwepo", Salome ya Dully na nyingine nyingi zina ubunifu mkubwa.
4. Roy wa G-records (R.I.P):
Jamaa alikuwa anajua sana.
5. Henrico
6. Said Comorie (vinanda)
List hiyo ruksa kuiendeleza wengine wengi nimewasahau ila hawa wameifanyia kitu tasnia ya muziki huu.