Tujikumbushe Makonda alipokataa kuwaomba radhi Clouds Media

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,230
Huyu jamaa watu tumeamua kufukua makaburi yake yote ya nyuma! Leo acha tuanze na hili tukio ambalo binafsi liliniacha mdomo wazi baada ya Makonda alipokata kuomba msamaha kwa Clouds baada ya tukio la kuvamia Media hiyo! Tena alikataa mbele ya Marehemu Ruge

Hii ilikuwa ni Aug 9, 2017 katika mkutano na waandishi wa habari na Wahariri uliitwa na TEF
===========
Your browser is not able to display this video.
 
Alipoongopa alipokuwa siku Lisu anashambuliwa Dodoma yeye akiwa kiongozi wa kundi lile.
 
JF mkizidi kuwapa airtime machawa wa CCM hapa mada zao kwa VPN.

MNafutwa rasmi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…