Duh, mkuu Kwetuni..... yaani hapo mpaka mbavu zimekaribia kunivunjika manake mambo ya magazeti na ukiweza daka "TOP LAYER" siku za nyama basi hata "DH" hakuna tena faida ya kwenda...........
Shule yangu Ilboru inasifika sana....................
Hivi kuna mtu anamkumbuka yule mzee Alfayo wa jikoni nilimuacha miaka ya mwanzo ya tisini?
Mkuu MTM, Mzee Alfayo..... na yule tulikuwa tunamuita "NALABUK" manake alikuwa mnoko kinoma unamkumbuka??? Hawa wazee nadhani watakuwa wamesha retire manake sisi tuliwaacha miaka ya mwanzo 90 na walikuwa tayari mvi zimeanza kuwatoka si unajua tena na mambo ya kupikia kule old kitchen, sio kule kwenye gesi!!!
mumezungumzia ilboru mumenikumbusha mbali sana na mimi nilikuwa shule ya jirani pale Ekenywa nimepiga mwaka pale,si vumbi hilo kupandisha kutoka mjini,nilitokea Enaboishu baada ya kupewa suspesion ndo nikapiga mwaka pale kumalizia o'lever,mwaka 98.MTM ulikua mwaka gani ilbori?maana hata ile disco tushatembeleana sana michezo.ilikuwa ni shule yenye vipaji maalum ilboru
Mwanzoni mwa miaka ya tisini... enzi za medukenya na yule mchanga aliyekuja kumpokea vijiti Bino
Naskia yule mchagga watu walimtandika na kumvamia nyumbani kwa kuzidi unoko
Tunapokumbuka Enzi zetu Ilboru tuchukue nafasi hii kuwakumbumba Dr. Mujuni Mutabuzi na Dr. Allute ambao wametutoka siku ya tarehe11/04/2009 kwa kuzama Majini huko Udzungwa Morogoro, Hawa jamaa ni Ex- Ilborians ( Alumni).
Mwanga wa Milele uwape ee bwana na Raha ya Milele uwaangazie wapumzike kwa Amani. Amina
Tunapokumbuka Enzi zetu Ilboru tuchukue nafasi hii kuwakumbumba Dr. Mujuni Mutabuzi na Dr. Allute ambao wametutoka siku ya tarehe11/04/2009 kwa kuzama Majini huko Udzungwa Morogoro, Hawa jamaa ni Ex- Ilborians ( Alumni).
Mwanga wa Milele uwape ee bwana na Raha ya Milele uwaangazie wapumzike kwa Amani. Amina
mumezungumzia ilboru mumenikumbusha mbali sana na mimi nilikuwa shule ya jirani pale Ekenywa nimepiga mwaka pale,si vumbi hilo kupandisha kutoka mjini,nilitokea Enaboishu baada ya kupewa suspesion ndo nikapiga mwaka pale kumalizia o'lever,mwaka 98.MTM ulikua mwaka gani ilbori?maana hata ile disco tushatembeleana sana michezo.ilikuwa ni shule yenye vipaji maalum ilboru