WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,610
- 3,738
Wakuu binafsi naamini ule mradi wa CCM wa kununua Zitto, Dkt Mashinji, Waitara, Nasari, Ryoba, wabunge wengi, madiwani, na Covid-19 ni bora hizo pesa CCM ingetumia kumnunua Mtu mmoja tu kutoka CHADEMA kwa maslahi ya Taifa letu, nae ni Tundu Antiphas Lissu.
Huyu wakili ni born genius naturally. Speech zake Bungeni zimei-prove wrong hii serikali ya CCM ikiwa T. Lissu akiwa bado yupo Hai. Speech zake zinaishi. Hii Proffesorio rubbish ya Osoro (Trillion 360 za Madini Barrick). Imebuma haraka sana, proved by Dkt. Mwigulu Nchemba.
Nashauri serikali kumtumia vizuri huyu kijana. Tanzania hakuna wakili wa kumsogelea T. Lissu. Tumheshimu, tumpende na tumtumie kwa maslahi ya Tanzania
Wenye clip za speech zake, please tupieni.
Huyu wakili ni born genius naturally. Speech zake Bungeni zimei-prove wrong hii serikali ya CCM ikiwa T. Lissu akiwa bado yupo Hai. Speech zake zinaishi. Hii Proffesorio rubbish ya Osoro (Trillion 360 za Madini Barrick). Imebuma haraka sana, proved by Dkt. Mwigulu Nchemba.
Nashauri serikali kumtumia vizuri huyu kijana. Tanzania hakuna wakili wa kumsogelea T. Lissu. Tumheshimu, tumpende na tumtumie kwa maslahi ya Tanzania
Wenye clip za speech zake, please tupieni.