Tujifunze Kutoka Libya



Nyie mnaandika Ila hamuingii Field kupambana .

Mnafikiri CCM itatoka madarakani kwa maneno matupu ?

Sikia acheni hizi mambo za kuamini kuna MTU atakupambania .

Mnataka vijana warudi barabarani wauliwe tena au Mnataka nini

Nyie watoto wenu mnawalinda Ila mnataka watoto wengine wakaandamane .

Big NO tuta -push agenda hakuna maandamano nyie key body ni watu selfish
 
Kwanza upotofu wako ni kudhani kuna CCM, kama chama. Huo ni udanganyifu ulio wazi.

Pangekuwa na CCM, Samia asingekuwa alipo sasa hivi. Kwa hiyo huo ni upotoshaji mnaoufanya kwa maksudi kabisa.

Kilichopo sasa hivi ni kundi la watu waovu kabisa, wachache sana wanaotumia jina la hicho chama; kundi lililoteka vyombo vya usalama kutumia mitutu ya bunduki kulinda maslahi yao.

Sasa wewe unajuawaje kuwa waTanzania hawana mikakati; na badala yake mnataka wakubali matakwa ya hao wanaowatuma kuja humu kueneza upotofu ili kulinda uovu.
 
Wanaitwa wana-mtandao,
kikundi dhalimu, kiovu,kikatili,kikiongozwa na jk na jopo lake
 
Nyie mnaandika Ila hamuingii Field kupambana .

Mnafikiri CCM itatoka madarakani kwa maneno matupu ?
Lugha hii hii, ndiyo mnadhani itawalinda nyie.
Unataka waTanzania waingie 'field' kwa amri na mipango yako?
Kinachokuwasha ni nini hadi uje humu kueneza ujinga na vitisho kwa wengine?
 
Unapopambana na CCM ujue unapambana na

JWTZ
Magereza
Police
Mahakama
Mgambo
Zimamoto
Uhamiaji
Tiss


Hivyo kupambana na CCM sio jambo jepesi
 
Kum@ LA mamako , ccm na mbwa koko wala makombo Kama wewe lazima mfutwe kwenye USO wa dunia ,worthless creatures ,mbwa takataka.......Ccm ni kikundi cha kigaidi na maharamia wauaji waliojipachika madarakani bila ridhaa ya wananchi
 
Unapopambana na CCM ujue unapambana na

JWTZ
Magereza
Police
Mahakama
Mgambo
Zimamoto
Uhamiaji
Tiss


Hivyo hauwezi kupambana na CCM sio jambo jepesi
Hawa wote siyo waTanzania wanaolitakia taifa lao mema?
Ni hawa hawa watakaoshirikiana na waTanzania wenzao kuwaangamiza makuadi wakubwa nyinyi.

Mtu na akili zako timamu unashindwa kujuwa nini kinaendelea wakati huu?
 
Hawa wote siyo waTanzania wanaolitakia taifa lao mema?
Ni hawa hawa watakaoshirikiana na waTanzania wenzao kuwaangamiza makuadi wakubwa nyinyi.

Mtu na akili zako timamu unashindwa kujuwa nini kinaendelea wakati huu?
Ww mkuu unatumia hisia Ila Mimi nakupa Fact


Kuwa kupambana na CCM unabidi kujipanga hata miaka 5 na sio hizi harakati za tiktok
 
Ww mkuu unatumia hisia Ila Mimi nakupa Fact


Kuwa kupambana na CCM unabidi kujipanga hata miaka 5 na sio hizi harakati za tiktok
Huna "FACT" hata moja; hata chembe ndogo tu. Unachouza hapa ni upumbavu mtupu. Inabidi nitumie lugha hiyo kwa mtu kama wewe unayetumia ulaghai kuja hapa kufanya upotofu.
 
ILI AMANI IWE ENDELEVU LAZIMA SERIKALI NAYO IKUBALI KUWA INAMAKOSA NA KUYAFANYIA KAZI.MFANO UTEKAJI LAZIMA IACHE.KAMA MTU ANAKOSA AKAMATWE KWA UWAZI NA SIYO KWA KUMTEKA.PIA IPUNGUZE UPENDELEO WA WAZIWAZI KWENYE NAFASI ZA UTEUZI NA KUKUTUMIA RASILIMALI TULIZONAZO KWA UFANISI ILI KUHAKIKISHA KILA MTANZANIA ANANUFAIKA NA RASILIMALI HIZO.
 
Wananchi jua kwamba nasi ikifikia hatua hiyo ya machafuko,wazungu wataingilia kati ,si kwakuwa wanatupenda ila kwa ajili ya Kuja kuvuna rasilimali za Tanzania
Sudan kuna wazungu; Mali kuna wazungu; Nigeria kuna wazungu; Yemen, kuna wazungu? n.k., n.k.,

huoni kuwa ajenda yako ipo nje nje kabisa?
 
Sisi tumeanza hizi mambo kitambo mpaka tukawa tunafatiliwa na CCM .

Sisi hatuongei MANENO
Wewe usifikiri huwa sisomi na kukumbuka misimamo ya baadhi ya watu wanaochangia humu JF. Sikuanza kukusoma leo.
 
Hawana huo ujinga😀
 
Hawa vijana safari hii wakiingia road kupinga serikali wakishikwa wawekwe nondo za moto makalioni.
Amani gharama yake kubwa kuliko haki.
Haki unaweza kuijenga kwa siku moja but amani hujengwa kwa miaka mingi
 
Kwamba watu wakitekwa na kuuwawa tukae kimya tu kulinda amani sio?
 
Kwa hiyo tuachie kikundi kinachopora, kufira na kuua huku kikihujumu uchumi wa nchi kiendelee tu au una plan nyingine? Vipi na maiti zilizofukiwa pasipojulikana tusiulizie tena? Vipi tutulie tu huku watu wakizidi kubambikiwa kesi za uhaini?
According to you what's the way forward?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…