Tujifunze kutengeneza game

Tujifunze kutengeneza game

Drax001

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2017
Posts
454
Reaction score
240
Habari za majukumu wakuu mimi nataka tu share mawazo juu ya jutengeneza game development kwa hapa bongo najua wenye uwezo juu ya hayo mambo kuhusu game wapo wengi tu tatizo hawataki kushare mawazo . mimi ndio nimeanza kujifunza kutengeneza video game kupitia unreal engine sasa naomba mwenye mawazo kuhusu game tuunde Team ili tuweze kushare mawazo juu ya jinsi ya kutengeneza game nijuze kama umekwisha wahi hata kujaribu kutengeneza game na ulitumia engine gani.
 
Mi sio mtaalam wa game development ila nataka kujua, kuna tofauti gani kati ya unreal game engine na unity??
 
Mi sio mtaalam wa game development ila nataka kujua, kuna tofauti gani kati ya unreal game engine na unity??
Zipo engine tofauti tofauti kama Souce engine

Frosbite engine
Cryengine engine

Unreal engine

Unity3d engine zote hizi zinatumika kutengenezea.
 
kuna game lolote successfull ambalo limetengenezwa na mtu mmoja au wawili watatu wasio na experience kupitia hizo engine?

mimi sio developer ila naona kama ni complicated sana kutumia engine ambayo inatumiwa na multi million company, utashindana vipi na hizo kampuni? siku zote utakuwa unafunikwa tu.

mfano mzuri wa indie game ni kama Heart Beat interactive, games zao za Doom and destiny na Dooms and Destiny advanced playstore tu wana downloads kama 60,000 na game linauzwa $5 au €5 hivyo hapo wana zaidi ya milioni 500,000 hapo hujakuja steam kwenye pc linauzwa $10 na limeuza sana pia lina rating zaidi ya 1600 na pia lipo kwenye console kama xbox 360. hivyo jamaa watakuwa wamepiga zaidi ya billioni.

hao jamaa ni watu wawili tu.

stats.png


graphics zake ni simple na hata development yake haikutoi jasho, games zake ni nyepesi unacheza simu haipati joto wala kuisha charge sana. kwangu mimi naona project kama hizi ni realistic zaidi, designer mmoja na mchoraji pamoja na developer mmoja mnakaa chini mnafanya kitu cha maana, mnaconcetrate nguvu zenu kutengeneza story ambayo itamvutia mtumiaji.
 
tuunde team ya watu wenye nia hata watu wa 3 tutengeneze kwa kuanza hata game dogo badae tutafikia kama wao walipo kwani wao walianzaje?
 
tuunde team ya watu wenye nia hata watu wa 3 tutengeneze kwa kuanza hata game dogo badae tutafikia kama wao walipo kwani wao walianzaje?

Karibu katika ulimwengu wa V_Game Kwani Hakuna Fani rahisi Duniani kama Kosi Ya Game Developer Kitu Kigumu ktk fani hii ni Game Dsn tu. Kama unahitaji Kujifunza Basi Jifunze Huku Ukiamini Utafanikiwa kwani Kunawatu Watakukatisha tamaa kama huyu Jamaa Chief-Mkwawa. Fani nii inaweza kukubadirishia mfumo wa maisha na kukupaisha ktk Utajiri mkubwa Kwani hata mimi nilikatishwa Tamaa na watu wengi lakini Sikujali mpaka Leo Ninamiliki Kampuni La Game Developer Namaana UJ Game Studio. nitakuunganisha na Game Developer Ni INBox naunipe E-mail Yako Mahali Unapo Ishi
 
Humu Jf hata sura tu hatutaki kujua ndo game lifanye tujuane? Maji kwa kinu. Pambana tu mkuu
 
Zipo engine tofauti tofauti kama Souce engine

Frosbite engine
Cryengine engine

Unreal engine

Unity3d engine zote hizi zinatumika kutengenezea.
Unreal Ni Kiboko! Ina balaa Kubwa sana, Ikitumiwa kimakini Inafanya Kitu kinaonekana Real Kabisa!
 
Back
Top Bottom