TUjifunze kukubali ukweli

Mi nikitaka kumuacha switie wangu kwanza nampeleka shoping ya nguvu.pili kila cku lazma 2do walau kamoja 2,tatu lazima ujue ukisusa mwenzako anakula,nne lazima ujue ukimwacha lazma uanzishe mahusiano mapya kaa ukijua mahusiano mapya yana garama sana hvyo binafc 2nakaa kitako 2nayamaliza kikubwa.
 
Mi nikitaka kumuacha switie wangu kwanza nampeleka shoping ya nguvu.pili kila cku lazma 2do walau kamoja 2,tatu lazima ujue ukisusa mwenzako anakula,nne lazima ujue ukimwacha lazma uanzishe mahusiano mapya kaa ukijua mahusiano mapya yana garama sana hvyo binafc 2nakaa kitako 2nayamaliza kikubwa.


Ana raha sana huyo aisee
 
sasa we Dena hapa umesema kua huyo dada alimsakliti jamaa, af tena unasema mwanamke akipenda anapenda kweli.sasa kapenda vip kweli halaf akasaliti??
 
sasa we Dena hapa umesema kua huyo dada alimsakliti jamaa, af tena unasema mwanamke akipenda anapenda kweli.sasa kapenda vip kweli halaf akasaliti??

Usichanganye mambo mwanamke hupenda toka moyoni. Huyo msichana kumsaliti jamaa ni kitu kingine ambacho yeye mweyewe ndo anajua na ndio maana hataki kukubali ukweli
 
Kukubali ndo pagumu sana mkubwa

Nakumbuka kwenye kura za maoni kule mitaa ya kwetu kuna mbunge wa siku nyingi na aliekuwa naibu wa waziri wa wizara fulani ilimchukua muda mrefu kukubali matokeo lakini hadi sasa nahisi hajakubali kwa moyo wake maana...............................
 
Salut!!

Nimesikia hiki kisa kimenisikitisha sana.

Mwanaume alikuwa na mpenzi wake wakakorofishana mwanaume kamweleza msichana kuwa kuanzia sasa mimi na wewe basi kwa njia ya simu.

Msichana kusikia hivyo kapanic kweli kamwambia Mwanaume kuwa "We need to talk" jamaa kakubali kamwambia njoo tuzungumze. Msichana kafika kabla ya mwanaume na kwa kuwa alikuwa na ufunguo wa nyumba kaingia kumsubiri.

Jamaa alipofika kamweleza kuwa kutokana na tabia yako ya kuwa na wanaume wengine mimi nimeamua sikuhitaji tena endelea na maisha yako na mimi na maisha yangu msichana kusikia hivyo kaja juu na hasira na kachukua laptop ya mwanaume katupa nje (gorofa ya pili).

Mwanaume kabaki na msimamo ule ule kuwa sikuhitaji tena fanya chochote unachotaka lakini sitabadili msimamo wangu. Cha kushangaza zaidi msichana kaondoka na hasira na kurudi baadae kachukua nguo, vyeti na vitu vingine vya mwanaume kachoma moto na kuondoka.

Najiuliza kwanini huyu msichana hakubali kuwa kaachwa??? Ni lazima uendelee kuishi na mtu ambaye hakuhitaji????. Kwanini asikubali kuwa hahitajiki tena???

Hapa ndipo pale lile swala la wanawake hupenda toka moyoni na wanaume hupenda kwa macho linapokuja na kuwa gumu.

Tujifunze kukubali ukweli na upendo wetu usizidi kipimo, maana hata ukiambiwa mimi na wewe basi usiumie sana kiasi hiki.

Hiki ni kisa kimetokea huku nilipo na huyu msichana anapelekwa mahakamani leo kwa kosa la uharibifu wa mali za huyu mwanaume.

Nawasilisha
Huyu mwanamke vipi? Mbona ana hasira namna hii wakati yeye ndo mwenye makosa, na hata kama bwana ndo angekuwa na makosa!! Wanawake wenzangu hata siku moja tusikubali kujilazimisha mahali ambapo penzi limeisha, kwani mapenzi hayaitaji huruma wala woga, maana alifikiri akivunja vunja vitu ndo jamaa ataogopa na kumwambia basi tuludiane au alifikiri akimwomba mwanaume msamaha kwa kujihurumisha ndo mwanaume atamwonea huruma, mapenzi yanajitegemea na huruma ipo kivyake. Simwonei huruma kwa sababu alianza yeye, sasa jamaa kamaliza. Na kama huyo bwana anavijisenti aangalie hasije akaishia magereza hata kama atakaa siku kadhaa na akaja kukata rufaa, lakini atakuwa ameshaonja magereza.
 
Kweli!.when you love soo hard,ni ngumu kukubali but kuact irrational ni jambo lingine!
 
Methodology za kuachana........
Naamini huyu jamaa angweza kutafuta njia nzuri zaidi ya kumwambia huyu dada kwamba yamefika mwisho.......
Kuacha sio kosa...ila njia za kuachana ziangaliwe kwa umakini (kupunguza madhara).

St. inaonekana wewe ni mtaalamu wa kuacha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! itabidi siku utupe thread ya hizo methodology za kuacha ili kupunguza madhara............. maana kila siku watu wanaachana
 
Dena mm ninavyoona lbd huyo dada alikuwa anampenda sana huyo kijana, lkn kulikuwa kuna baadhi ya vitu ama mahitaji aliyokuwa aikiyakosa kutoka kwa huyo bf wake, ndio maana akaamua kusaka vidumu vingine out.

ila basi hata huyo msichana asingepaswa kufanya hayo aliyofanya!! hembu akaisaidie mahakama kwanza then i will be back!!
 
Dena mm ninavyoona lbd huyo dada alikuwa anampenda sana huyo kijana, lkn kulikuwa kuna baadhi ya vitu ama mahitaji aliyokuwa aikiyakosa kutoka kwa huyo bf wake, ndio maana akaamua kusaka vidumu vingine out.

ila basi hata huyo msichana asingepaswa kufanya hayo aliyofanya!! hembu akaisaidie mahakama kwanza then i will be back!!


Susy mie miss wewe sana ujue
 
Dena lazima kuna kitu ambacho huyo binti alikikosa kwa huyo boyfriend wake, ndio maana akaamua kutafuta vidumu!!
 
ha hah aaaaaaaaaaaaaaaaaa even me my love!! nimekumiss sana Dena!! natumai mida hii unatizama tu wakati wakutoka najua unakaribia
 
Dena lazima kuna kitu ambacho huyo binti alikikosa kwa huyo boyfriend wake, ndio maana akaamua kutafuta vidumu!!

Bwana mambo ya mapenzi saa nyingine magumu sana mpaka mtu unachanganyikiwa ngoja tusubiri ripoti ya mahakama
 
ha hah aaaaaaaaaaaaaaaaaa even me my love!! nimekumiss sana Dena!! natumai mida hii unatizama tu wakati wakutoka najua unakaribia

Na kweli mwaya mida ndo hiyo tukapate nyama choma na valuuuu chupa mbili
 
Dena we acha tu.
Kuna mdada alimuuitia boyfriend wake kelele za mwizi.
Jamaa kala kibano kuja kucheki vizuri kumbe wadau wengine wanamfahamu.
Sijui kwanini roho ni nzito kuaccept.
Mi nikishaona vidalili tu nachapa lapa mapemaaa.
 
Back
Top Bottom