Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,801
Za mida hii wakuu
Ukimuona fulani labda ukampenda na ukamueleza ila ukaona anakuchenga chenga, na haeleweki, huyo achana naye usiendelee kumtafuta zaidi mtu ambaye ni sahihi kwako hawezi kukukwepa kwepa, kuendelea kukandamizia inakuwa ni kama kulazimisha ukubaliwe, wakati mhusika hajisikii kuwa na wewe.
Mtu ukipigia simu siku ya kwanza na ya pili, halafu hajakutafuta, achana naye kama aliona missed calls na hajakutafuta jua kwamba hajakuona wa muhimu, achana naye usilazimishe...
Hii ni sababu inatengeneza kero kwa mtu ambaye amekuonesha dalili ila umeshindwa kuzisoma...
Uzi tayari
Ukimuona fulani labda ukampenda na ukamueleza ila ukaona anakuchenga chenga, na haeleweki, huyo achana naye usiendelee kumtafuta zaidi mtu ambaye ni sahihi kwako hawezi kukukwepa kwepa, kuendelea kukandamizia inakuwa ni kama kulazimisha ukubaliwe, wakati mhusika hajisikii kuwa na wewe.
Mtu ukipigia simu siku ya kwanza na ya pili, halafu hajakutafuta, achana naye kama aliona missed calls na hajakutafuta jua kwamba hajakuona wa muhimu, achana naye usilazimishe...
Hii ni sababu inatengeneza kero kwa mtu ambaye amekuonesha dalili ila umeshindwa kuzisoma...
Uzi tayari