GODLIVER CHARLE
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 20
LUGHA YETU UTAMADUNI WETU
Naomba nitoe wito kwa wachagga wote wanaojua kichagga watufundishe kichagga na watutengenezee mada kabisa.
Ikiwa utakuwa unafundisha Kirombo useme unachofundisha ni kirombo
Ikiwa unafundisha Kimarangu au kimachame useme unafundisha kichagga cha wapi ili kila mchagga ajue ni lugha ya mahali gani anajifunza.
Ni aibu wengi wetu tumekulia mjini afu tunajiita wachagga lakini kilugha hatukijui. Tafadhalini tusaidieni wajameni tuweze kuwa wamoja.
KARIBUNI WALIMU MTUFUNDISHE.... HATA KWA ADA.
Naomba nitoe wito kwa wachagga wote wanaojua kichagga watufundishe kichagga na watutengenezee mada kabisa.
Ikiwa utakuwa unafundisha Kirombo useme unachofundisha ni kirombo
Ikiwa unafundisha Kimarangu au kimachame useme unafundisha kichagga cha wapi ili kila mchagga ajue ni lugha ya mahali gani anajifunza.
Ni aibu wengi wetu tumekulia mjini afu tunajiita wachagga lakini kilugha hatukijui. Tafadhalini tusaidieni wajameni tuweze kuwa wamoja.
KARIBUNI WALIMU MTUFUNDISHE.... HATA KWA ADA.