Tujenge tabia ya kufanya kazi za kujitolea.

Tujenge tabia ya kufanya kazi za kujitolea.

victor11

Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
67
Reaction score
7
[h=5]Ni nini kifanyike ili kuwajengea vijana wa kitanzania tabia ya kufanya kazi za kujitolea. Mfano; kijana amemaliza form four anasubiri matokeo, wakati huu anaweza kutumika, kwani hii ni nguvu kazi kama ikitumika vizuri itakuwa na manufaa kwa taifa, kumbuka hizi ni nguvu zipo zaweza kutumika au kuziacha.
[/h]
 
Ni nini kifanyike ili kuwajengea vijana wa kitanzania tabia ya kufanya kazi za kujitolea. Mfano; kijana amemaliza form four anasubiri matokeo, wakati huu anaweza kutumika, kwani hii ni nguvu kazi kama ikitumika vizuri itakuwa na manufaa kwa taifa, kumbuka hizi ni nguvu zipo zaweza kutumika au kuziacha.

Vijana wa sasa siyo kama wa zamani, vichwa vyao vinakuwa vimejaa siasa , hawaezi kabisa kazi.
 
Kujitoleaaaa!!??
Kwa Tanganyika hii au ile ya Mwalimu?
Ni vipi nitajitolea na wengine wanajitwalia?

Nipishe Mkuu!
 
Back
Top Bottom