JJ10
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 282
- 133
Kipindi tulichopo sasa ni kipindi ambacho kampeni zinaendelea kwa ajili ya uchaguzi mdogo. sasa kuna mengi yanayojiri kwenye hizi kampeni'' huku mtaani kwetu mambo niliyoyashudia ni;
1: Kuvunjwa kwa kioo kwa gari ya matangazo ya CCM' ilipigwa na jiwe.
2: Kuzomewa kwa wogembea wa CCM pamoja na mtu yeyote ambaye amevaa sare za CCM au gari yoyote yenye bendera ya CCM hasa yale ya matangazo.
3: UKAWA wakipita watu wanapiga miruzi na kuwashangilia
Hapo mtaani kweni nini kilitokea au nini kinaendelea?
1: Kuvunjwa kwa kioo kwa gari ya matangazo ya CCM' ilipigwa na jiwe.
2: Kuzomewa kwa wogembea wa CCM pamoja na mtu yeyote ambaye amevaa sare za CCM au gari yoyote yenye bendera ya CCM hasa yale ya matangazo.
3: UKAWA wakipita watu wanapiga miruzi na kuwashangilia
Hapo mtaani kweni nini kilitokea au nini kinaendelea?