The Son
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 459
- 58
Baadhi ya wadau wa elimu wanadai serikali ime-introduce mfumo wa majibu ya kuchagua katika mtihani wa taifa darasa la 7 ili ipate wanafunzi wanaojiweza katika shule zake, wazipandishe chati na kuzishusha zile za binafsi. Je, una maoni yapi katika hili?
Natanguliza shukrani.
Nawasilisha.
Karibu.
Natanguliza shukrani.
Nawasilisha.
Karibu.