Tujadili kuhusu "VAT"

Hii ni nadharia nzuri sana kuisoma lakini ukweli ni kwamba kila utakapokwenda, Duniani kote, VAT hulipwa na mlaji na siyo mwuzaji.

Hivi pale bandarini, uleagiza gari lako, unalipishwa VAT, anayelipa ni yule aliyekuuzia gari au wewe uliyenunua?

Habari ni ndefu lakini ya kupotosha wasiojua. Kwenye nchi nyingi za wenzetu bei zote unazoambiwa, hazina VAT, wakati wa malipo ndiyo utaongezewa VAT. Kwenye risiti ya malipo, hata kwenye zile mashine, inaonesha bei ya kitu, halafu VAT, ambacho ni kiasi ambacho umeongezewa wewe mnunuzi baada ya kulipia ile bidhaa.

Huyu mwenzetu ameamua kuwafurahisha watu.
 
Nadhani shida ni kuwa katika chochote kuna gharama za uzalishaji..ambazo plus VAT ndio bei ya kitu???? Sasa kama VAT ilikuwa haijawa imposed at the bwginning...na bei ilikuwa ni ile.tu ya uzalishaji what do we do??? Naomba somo hapa
 
Noqchojua mimi kwa akili yangu fupi makampuni makubwa au waagizaji hukusanya VAT kutoka.kwa walaji kwa niaba ya serekali na si walipaji wa VAT?? .... ndio maana ukienda.kwenye DUTY FREE SHOPS hakuna VAT na wenye maduka.haya hawadaiwi VAT na serekali zao??naomba kurudishwa darasani
 
Heh! Tena?
Jenniec achana na huyu msukule wa BRN .......meza meza wa mfumo wa elimu......hata hajaelewa nilichozungumzia amedandia treni kwa mbele............nilichokuelewesha ndicho hicho hicho..........ila ni kwamba hakifanyiki kama nilivyokielezea.........
 
Tuache kuzunguka, hii ni consumption tax mlaji ndy analipa hii kodi na sio mzalishaji ikiwa kama tunahitaji mzalishaji wa huduma alipe basi tutafute jina lingine la kodi hii. Tatizo tulilonalo hivi sasa watu hawataki kusema ukweli nani anastahili kulipa. Kwa mfano kamishna mkuu wa TRA anasema VAT analipa mtoa huduma hii ni kitu cha ajabu sijawahi kukiona na huyu ameamua kujitoa ufahamu kwa hofu ya ajira yake. Watu wanaosikiliza mabishano hay mwisho wa siku watatuona wajinga au mzumbukuku yaan VAT alipe mlaji kama ni kweli kamishna mkuu TRA mwambie mwanao atoe jibu hili kwenye mtihani wa swali moja uone kama hatapata sifuri
 
daaas. wajameni mmetuvuruga. which is which. sisi tunafata maagizo ya serikali ndio final. ambayo TRA wenyewe ndio waliyaeleza. wao ndio wataalam wa kukusanya kodi. fullstop. sijajua huu uzi maana yake nini
 
....
Example

Consider the manufacture and sale of any item, which in this case we will call a widget. In what follows, the term "gross margin" is used rather than "profit". Profit is the remainder of what is left after paying other costs, such as rent and personnel costs.

Without any taxEditA widget manufacturer, for example, spends $1.00 on raw materials and uses them to make a widget.The widget is sold wholesale to a widget retailer for $1.20, leaving a gross margin of $0.20.The widget retailer then sells the widget to a widget consumer for $1.50, leaving a gross margin of $0.30.

With a sales taxEdit

With a 10% sales tax:

The manufacturer spends $1.00 for the raw materials, certifying it is not a final consumer.The manufacturer charges the retailer $1.20, checking that the retailer is not a consumer, leaving the same gross margin of $0.20.The retailer charges the consumer ( $1.50 x 1.10 ) = $1.65 and pays the government $0.15, leaving the gross margin of $0.30.

So the consumer has paid 10% ($0.15) extra, compared to the no taxation scheme, and the government has collected this amount in taxation. The retailers have not paid any tax directly (it is the consumer who has paid the tax), but the retailer has to do the paperwork in order to correctly pass on to the government the sales tax it has collected. Suppliers and manufacturers only have the administrative burden of supplying correct certifications, and checking that their customers (retailers) are not consumers.
 
Ok
 
Maelezo mengi lakini unakosea kulinganisha Habari za juice na issue inayoendelea na mabenk ebu jaribu kufananisha na hiyo issue ya benk na utoedescription kama unayoisema
 
naona mkuu unataka kujaza thread..
 
Umepotosha umma brother tena saaana....sometimes kama hamjui how tax system work achieni wataalam wawasaidie wapo tax consultant wapo accountants na economist...sema unachojua
 
Umepotosha umma ndugu bad enough watu wameelewa uongo kasome VAT Act 2014
 
I am Certified Public Accountant so consult watu wanaojua before saying anything which is techinical
 

HIYO SCENARIO YAKO HIJAKAA VIZURI NENDA KASOME VAT ACT NA GOOGLE HOW VAT WORKS UTAOUNA FROM POINT OF MANUFACTURE TO END SELLER NA NI ONLY VAT REGISTERED ANA ADD VAT, KWENYE MFANO WAKO HAPA KAMA BAKHRESA AKINUNUA MAEMBE KWA MKULIMA ALIYESAJILIWA NA VAT ATAMWEKEWA BAKHRESA18% (MF 500+18%(500)= 590) HIYO VAT TUNAITA INPUT TAX, NA VIVYO VIVYO KWENYE USAFIRISHAJI NA GHARAMA ZOTE WATAMWEKEA, ILA COST ZAKE NI ZILE TU KABLA YA VAT, AKISHATENGENEZA JUICE AKISET SP =COST+ PROFIT, ATA ADD 18% YA VAT INAITWA OUTPUT TAX, ATAKACHOFANYA ATACHUKUA OUTPUT TAX -INPUT TAX IKIWA KUBWA ANAWALIPA TRA, IKIWA NDOGO ANALIPWA NA TRA, HIVYO NDO NCHANGANUO WA VAT ULIVYO NA NDO MAANA INAITWA TAX ON CONSUPTION KITAALAMU WANASEMA NI INDIRECT TAX, VAT REGISTERED YY NI WAKALA WA KUKUSANYA VAT HALIPI YY,
 
Hapa naanza kupata picha mbili zenye jina moja ila muonekano tofauti zote ni VAT ila mlipaji ndipo utofauti unajitokeza na katika uchunguzi wangu hii yako inatumika kwa 99% katika mzingira yetu.
Ombi langu kama ungeweza kutoa ufafanuzi kama wa mleta maada ungetusaidia wengi na tukapata elimu ya kutosha kabisa.
 
VAT inalipwa na Mfanyabiashara (Impact),
Mzigo anabeba Consumer (Incidence).

Hii ni tabia ya INDIRECT TAX zote, always Impact na Incidence hua ni kwa watu wawili tofauti
 
Napenda nifufue hii mada kwa kuuliza swali jinsi gan Tanzania mainland na Zanzibar wanavyokusanya VAT.


Ukiingiza mzigo kupitia bandari ya Dsm tunalipa VAT, mteja akija kutoka Zanzibar nikimuuzia mzigo nae akifika bandari ya Zanzibar anachajiwa tena VAT hii imekaaje,

Tunafanyaje hapo ili mteja asiumie kwa sababu nchi ni moja???

Msaada plz,
 
Mimi sio mwanauchumi, ila nahisi kuna kitu hakipo sawa kwani kwa hayo maelezo yako; haijani ingia akilini bidhaa moja ya maembe ikalipiwe VAT zote hizo kwa kila hatua? si itapanda bei sana ishindwe kuuzika?
Lakini pia umesema VAT ni value added TAX, kwa kiswahili ni kodi ya ongezeko la dhamani; sasa
Mkulima aliyeuza maembe kwanini achajiwe VAT kwani ameongeza dhamani gani kwenye hayo maembe?
Mwisho kabisa, Bidhaa moja hailipiwi VAT mara nyingi hivyo, kwa hiyo kuna mahala unatakiwa upunguze (offset) ile VAT iliyokwisha lipiwa mwanzo; sasa sina hakika kama wewe ni mwanauchumi au umesoma tu kwenye mitandao; hii INAMAANISHA huna elimu ya kutosha kufundisha watu habari za VAT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…