Tujadili kuhusu msimu wa kilimo

Tujadili kuhusu msimu wa kilimo

kipoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
372
Reaction score
305
Habari wanaJf, kwa sasa tunapoelekea musimu wa kilimo , tujadili fursa zinazopatikan musimu wa masika ambapo zaidi ni kilimo! Kuliko kukaa na kuwajadili viongozi wetu na vyama vyetu!! Nina amini nimeeleweka vyema humu!!
 
Kilimo hakina kudiscuss kama hakuna penbejeo output ni kidogo. Hakuna porojo za viwanda hapo

Pembejeo muhimu, ila suala la viwanda lije baada ya uzalishaji!!
 
Tatizo hela ziko Chato airport ni kivuko cha kipuuzi cha furahisha

Masuala haya ya SIASA nimesema tuweke kando tujadili namna ya kuongeza kipato wakati wa masika!! Elewa hilo!!
 
Uko jukwaa gani kama unataka kuweka siasa pembeni nenda jukwaa la wakulima

Naanzia huku kuwaambie kipindi hiki si cha siasa bali tujikite kwenye mambo ambayo yatakuwa na tija kwa mtu mmoja na nchi kwa ujumla!!
 
Habari wanaJf, kwa sasa tunapoelekea musimu wa kilimo , tujadili fursa zinazopatikan musimu wa masika ambapo zaidi ni kilimo! Kuliko kukaa na kuwajadili viongozi wetu na vyama vyetu!! Nina amini nimeeleweka vyema humu!!
Musimu ndio kitu gani jamani, mimi mgeni shambani.
 
Naanzia huku kuwaambie kipindi hiki si cha siasa bali tujikite kwenye mambo ambayo yatakuwa na tija kwa mtu mmoja na nchi kwa ujumla!!
Watu wanapiga kampeni unawaambie sio kipindi cha siasa we kama jiji limekushinda kalime mwenyewe sio kila mtu mkulima
 
Binti kajaje hapa tena? Hapa unaongea na MWANA, acha siasa. Musimu ndio nini mzee baba?

Kampeni si kitu cha wewe kusimamia kama hoja kubwa, cha msingi mtu anayefaa kuongoza wamjua hata si kwa kusubiri anadiwe!! Ndiyo maana mnachagua viongozi wasiofaa kwa kusubiri wapakwe mafuta wang'ae!
 
Watu wanapiga kampeni unawaambie sio kipindi cha siasa we kama jiji limekushinda kalime mwenyewe sio kila mtu mkulima

Bado tuna kazi kuelimisha watu kama jamii yako!!
 
Kampeni si kitu cha wewe kusimamia kama hoja kubwa, cha msingi mtu anayefaa kuongoza wamjua hata si kwa kusubiri anadiwe!! Ndiyo maana mnachagua viongozi wasiofaa kwa kusubiri wapakwe mafuta wang'ae!
Wakulima wote ni wehu wehu kama wewe au ni mvua? Sasa kampeni na viongozi kupakwa mafuta mimi kuna nihusu nini?

Mimi nimeuliza musimu. Au musimu ndio hayo mafuta mnayopakwa?
 
Acha kulalama na kitu ambacho huna uwezo nacho!!
Kipi nisicho na uwezo nacho ewe Popoma usiyejitambua?
Take-a-chance_daily-inspiration.jpg
 
Back
Top Bottom