Baada ya kutoka kwa walaka wa NACTE kwamba wanatakiwa kufanya mtihani wa form 6,juzi kati matokeo yao yalitoka,wengi wamefauru kwa division I na II, je wanaweza kutumia matokeo hayo kujiunga na vyuo vikuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.