Kamende JF-Expert Member Mar 1, 2008 416 45 Jun 9, 2009 #21 Mwiba mchungu kokote uingiapo. Lakini jichoni ni zaidi.
K Keykey JF-Expert Member Dec 1, 2006 3,250 740 Jun 9, 2009 #22 MMkjj, Hapa sikuelewi kabisa, Tuitishe uchaguzi mapema na kuwapa mandate ya nguvu chama tawala? unajuwa upinzani bado wamelala wanavizia 2010? Unayo habari kwamba kundi pekee waliojiandaa mapema ni la mafisadi ambao wameweka mtandao karibu kila jimbo kuwaangusha wabunge wazalendo? Au tuseme unatikisa kiberiti kuona kama kina njiti? Wengine tutafikiria umebadili msimamo kwani humuhumu JF tumeshawapoteza wapiganaji kadhaa. I beg to differ,...
MMkjj, Hapa sikuelewi kabisa, Tuitishe uchaguzi mapema na kuwapa mandate ya nguvu chama tawala? unajuwa upinzani bado wamelala wanavizia 2010? Unayo habari kwamba kundi pekee waliojiandaa mapema ni la mafisadi ambao wameweka mtandao karibu kila jimbo kuwaangusha wabunge wazalendo? Au tuseme unatikisa kiberiti kuona kama kina njiti? Wengine tutafikiria umebadili msimamo kwani humuhumu JF tumeshawapoteza wapiganaji kadhaa. I beg to differ,...