Statement zako zinaonesha huyo kijana ndio wewe.Na kingne huyo kijana sio kichwa wala nini,ni aina fulani ya KILAZA.Yaani mtu ule div 1 ya pc-kunani then "cost n management" ikutoe mchezoni??
Mkuu dau dogo sana halafu dogo anaonekana kilaza chuo huwezi kutafuta tuition...ongeza dau
Katika elimu ya juu ukishindwa kujisome ukaelewa ujue unapoteza muda bora huo muda uzalishe pesa na ununue cheti .embu toa sababu za msingi kwann chuo usiweze kutafuta tuition usiwe unakremisha tu...Assume unaingia darasan saa 11 jioni vipindi ni viwili vya masaa mawili mawili kila siku , So unatoka saa 3 usiku...Unatoka chuo that time na nyumban ni mbali, Istoshe kuna familia inakungoja na kesho Asubuhi kuna kuwahi kazini...Siku nyingine kazi zimebana huji chuo hata siku mbili au tatu umemiss vipindi, Siku pekee ulizonazo ni week end, Uanze kumtafuta classmate mwenzio akuelekeze ilhali naye alipofundishwa alielewa vingine, Si ndo mwanzo wa kulishwa Matango...India watu wanasoma chuo na Tuition wanapiga kama kawaida, Sema bongo mwe! People zinakushangaa kama umejinyea
ushaambiwa muda wa kutosha wa kusoma hana, Kuna wengine wanasoma na kufanya kazi at the same time...Hata kama uwe kichwa vip you still need enough time kuzinyaka concept, We umeng'ang'ania tu kilaza kilaza...Na hapo ameandika kiswahili angekua ameandika lugha ya malkia?
Mkuu dau dogo sana halafu dogo anaonekana kilaza chuo huwezi kutafuta tuition...ongeza dau