Tuition pre form five

Tuition pre form five

occipito-frontalis

Senior Member
Joined
May 28, 2017
Posts
134
Reaction score
71
Habari wana jukwaa, jamani kwa hapa Dar wapi wanafundisha tuition vizuri pre form five, Nina dogo kapangwa kwenda five baada ya hizi selection wakati aliomba vyuo, msaada wenu please
 
Mulete nimfundishe npo kitunda-kinyantira.
-Avoid the quacks
 
Kasha chelewa mwez mmoja pre 4m 5 ata soma juu juu tu
Hapana mkuu, hiyo ni discouragement kwa mwenzio, hata akisoma topic mbilimbili kila somo inatosha anakua na mwanga sana akienda shule huyo mtoto anakua na msingi mzuri,, na kuanzia sasa kila kitu kinaezekana japo sasa inategemea ni masomo yapi anenda kuyasoma, kama ni upande wa arts inaezekana, science nako inaezekana japo kuna masomo mengine unakuta yana topic ndefu sana kama Bios, etc..... Hadi sasa zime baki wiki5+ sasa kweli hapo haiezakani nin!!!
 
Nkushauri mtaftie mtu private ndo amfundishe atamogeza mahal kma PCB niletee ntachaj kwa topic
 
Back
Top Bottom