Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Wakuu wa jukwaa kulingana na title hapo juu; naomba kufahamu mambo mawili kwa kuwa sasa yanafanyika bila kizuizi chochote.
1. Shule ya msingi hapa kijijini siku hizi madarasa yamekuwa ni vyumba vya kufundishia tuition nyakati za jioni, na hao wanaofundisha ni walimu wa shule hiyo. Je, sheria inasemaje hapa?
2. Katika shule hiyo mwalimu mmoja wa masomo ya Kiingereza na Haiba amewatimua wanafunzi saba katika darasa analofundisha wakati wa mtihani wa masomo hayo; kisa watoto hao aliwataka wampatie pesa ya kwenda kuburuza mitihani na kutokana na uwezo duni wa wazazi wanafunzi wakatimuliwa ndani ya chumba cha mtihani. Sheria inasemaje kuhusu suala hili?
Natanguliza shukrani
1. Shule ya msingi hapa kijijini siku hizi madarasa yamekuwa ni vyumba vya kufundishia tuition nyakati za jioni, na hao wanaofundisha ni walimu wa shule hiyo. Je, sheria inasemaje hapa?
2. Katika shule hiyo mwalimu mmoja wa masomo ya Kiingereza na Haiba amewatimua wanafunzi saba katika darasa analofundisha wakati wa mtihani wa masomo hayo; kisa watoto hao aliwataka wampatie pesa ya kwenda kuburuza mitihani na kutokana na uwezo duni wa wazazi wanafunzi wakatimuliwa ndani ya chumba cha mtihani. Sheria inasemaje kuhusu suala hili?
Natanguliza shukrani