MBUTEGWANE
Member
- Jan 13, 2015
- 33
- 8
Vituo vyote vinavyotoa huduma ya masomo ya ziada kwa watoto alimaarufu "tuition centre", vimefungiwa na mamlaka husika.
Msako mkali ulifanyika huku kukiwa na polisi.
Vijana waliohitimu kidato cha nne na sita ambao hawana ajira ya kudumu na kuamua kubuni njia mbadala ya kujipatia kipato, ndio walioathirika na sakata hili.
Msako mkali ulifanyika huku kukiwa na polisi.
Vijana waliohitimu kidato cha nne na sita ambao hawana ajira ya kudumu na kuamua kubuni njia mbadala ya kujipatia kipato, ndio walioathirika na sakata hili.