mzungukichaa
Member
- Nov 8, 2010
- 57
- 27
Naona dk wake alimshauri awe anagonga maji frequently
'Tumeleta makocha wazungu kufundisha michezo...' hivi hii ni akili au mgango :A S cry:
At least umesema hotuba ya Kikwete, ungeweka Rais wala nisingefungua kusoma, in General nothing new & expect nothing, nothing from JK, nadhani hata ulimwona dhamira yake inavyomsuta, hana confidence, as usual kashamchagua Meghji kashfa kibao, full usanii period
Wadau...tuipime hotuba hii ya mweshimiwa kwa uchakachuaji bungeni.. Mi nimesikiliza suala la michezo limenipa kichefuchefu..
'Tumeleta makocha wazungu kufundisha michezo...' hivi hii ni akili au mgango :A S cry:
ni hotuba nzuri na iliyokidhi vigezo vyote ambavyo vinatoa mwelekeo wa serikali yake kwa 201-2015, hakuna alicho acha kwenye hotuba yake hii. Amezungumzia utawala bora, muungano, michezo, maslahi ya watumishi serikalini, ushirikiano wa kimataifa,wajibu wa bunge, muundo wa baraza lake la mawaziri na watu wenye sifa gani, ukusanyaji wa mapato ya serikali nk.
Nashukuru mungu amemaliza bila kuanguka ingawa vikohozi vya apa na pale vilikuwa haviishi.
Naona dk wake alimshauri awe anagonga maji frequently