Elections 2010 Tuipime hotuba yaa Kikwete ya leo November 18 2010 bungeni

Ni hotuba nzuri na iliyokidhi vigezo vyote ambavyo vinatoa mwelekeo wa serikali yake kwa 201-2015, hakuna alicho acha kwenye hotuba yake hii. Amezungumzia utawala bora, Muungano, Michezo, Maslahi ya watumishi serikalini, Ushirikiano wa kimataifa,Wajibu wa Bunge, Muundo wa baraza lake la mawaziri na watu wenye sifa gani, Ukusanyaji wa mapato ya serikali nk.

mzee wa kuthink Twice,a.k.a bongo lala or memory corrupted! Unakidhi matakwa kufikiria ivo maana unachelewa ku analyse mpaka uthink twice. Ivi umesoma watu watu wakijadili kuwa rais kaacha A,b,c...Watu hawajadili alichokiacha bali wanajadili alichokileta mbele za wenye akili timamu wanaothink once to the point, kwamba kati ya aliyoyasema ni maneno sanifu ya kiswahili yenye ladha ya siasa na si maendeleo ya nchi. Cha muhimu hapa aliongelea nature yake-UDINI kitu ambacho amekidhihirisha kwa uteuzi wa ma ustadhi3 immediately kabla ya kuhutubia bunge! Na ili unasubiri kuthink twice? Du,si uli fresh au scanning utathink twice mpaka lini?
 
Tusitegemee jipywa kutoka kwa JK kuanzia michezo mpaka uchumi. CCM hawana jipywa kwa sababu walifundishwa kukubali kila anachosema kiongozi hata kama ni uongo au kisichofaa. Huu ndio uongozi tulio nao Tanzania. Hata kama hotuba iwe nzuri kiasi gani, maneno matupu hayavunji mfupa. Kwa mfano, yeye amewekwa pale na mafisadi je ana uwezo wa kuwashughulikia waliomuweka? Kuna kipindi PM Mizengo Pinda alisema kuwa mafisadi wanatisha. Japo kwa mtazamo wangu Pina ana uwezo wa kuwashughulikia kwa sababu yeye mwenyewe ni muadilifu, tatizo hana meno. Suala la michezo, hivi kweli kuleta kocha anayefundisha watu 20 mpaka 30 inawezekana kupandisha kiwango cha mpira nchini. In fact, kocha wa timu ya taifa hakuzi vipaji, yeye anachugua vipaji ambavyo viko tayari. Kwa hiyo kuleta kocha hakusaidii. Alichonichekesha zaidi ni pale aliposema kuwa bidhaa za Tanzania zinazoenda Kenya ni nyingi kuliko bidhaa za Kenya zinazoingia Tanzania. Hapo nilicheka kweli kweli. Hivi hao wanaomuandalia hotuba wamefanya utafiti kweli?
 
Aliyoyasema jana ni yale yale aliyoyasema miaka mitano iliyopita alipochaguliwa na ambayo ameyaimba miaka yote mitano iliyopiata na wakati wa kampeni. Hata yeye anajua watanzania wengi hasa wa chama chake ni mazuzu wepesi wa kusahau. Jk anasukuma siku tu. He has nothing to offer. It is a fact that he himself knows it.

There is nothing to discuss. Ni strategy ya makinda na mafisadi ili badala ya Bunge kutake over with serious national issue wakae wanaendekeza
u-Alinacha wa JK
 
Wadau...tuipime hotuba hii ya mweshimiwa kwa uchakachuaji bungeni.. Mi nimesikiliza suala la michezo limenipa kichefuchefu..
'Tumeleta makocha wazungu kufundisha michezo...' hivi hii ni akili au mgango :A S cry:

Tatizo hana vision
 
Mi nafikiri hakuna haja ya kujadili hotuba zilizojaa fikra za kifisadi..hotuba zote ni ahadi tu..badala ya mikakati ya kufikia maendeleo. Nakama anazungumzia mikakati basi atakwambia ameomba/ataomba marekani,china na wengine wampatie hiki mara kile. mi naona hatuna rais bali "a chain for black dogs"
Achana na hotuba isiyo na mbele wala nyuma:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:
 
Binafsi sikatai hoja zako... Ila tatizo ambalo JK analo sio kupanga(kama hotuba inavyoeleza). Tatizo lipo kwenye utekelezaji wa mipango yake!!! Kaongea mengi mazuri, ila 2006 ilikuwa hivyohivyo but nothing good happened!!!! CCM ni wazuri sana katika PAPER POLITICS...hapo utawapenda... ila katika ACTION/IMPLEMENTATION POLITICS hawana kitu kabisa. Mfano kumbuka 2006 baada ya kuapishwa kuwa raisi aliapa(tena akiwa bungeni kama ilivyokuwa jana) kuwa angehakikisha mikataba yote ya madini inapitiwa upya ili kujenga WIN-WIN situation... but nothing happened till now!!!

Sasa tutawezaje kumuamini katika haya ya jana????
Ni hotuba nzuri na iliyokidhi vigezo vyote ambavyo vinatoa mwelekeo wa serikali yake kwa 201-2015, hakuna alicho acha kwenye hotuba yake hii. Amezungumzia utawala bora, Muungano, Michezo, Maslahi ya watumishi serikalini, Ushirikiano wa kimataifa,Wajibu wa Bunge, Muundo wa baraza lake la mawaziri na watu wenye sifa gani, Ukusanyaji wa mapato ya serikali nk.
 
Ni hotuba nzuri na iliyokidhi vigezo vyote ambavyo vinatoa mwelekeo wa serikali yake kwa 201-2015, hakuna alicho acha kwenye hotuba yake hii. Amezungumzia utawala bora, Muungano, Michezo, Maslahi ya watumishi serikalini, Ushirikiano wa kimataifa,Wajibu wa Bunge, Muundo wa baraza lake la mawaziri na watu wenye sifa gani, Ukusanyaji wa mapato ya serikali nk.

Sidhani kana inakidhi.Zaidi nao ni marudio ya hutuba aliyoitoa wakati anafunga bunge July 2010
 
CCM na JK wamelaaniwa.... pale kwenye sera ya mambo ya nje akasema... tutaendelea kuomba misaada kwa wahisani mpaka pale tutakapokuwa na ewezo wa kujitegemea...Hilo tu ndio foregn Policy ya Tanzania?
 
Binafsi sikatai hoja zako... Ila tatizo ambalo JK analo sio kupanga(kama hotuba inavyoeleza). Tatizo lipo kwenye utekelezaji wa mipango yake!!! Kaongea mengi mazuri, ila 2006 ilikuwa hivyohivyo but nothing good happened!!!! CCM ni wazuri sana katika PAPER POLITICS...hapo utawapenda... ila katika ACTION/IMPLEMENTATION POLITICS hawana kitu kabisa. Mfano kumbuka 2006 baada ya kuapishwa kuwa raisi aliapa(tena akiwa bungeni kama ilivyokuwa jana) kuwa angehakikisha mikataba yote ya madini inapitiwa upya ili kujenga WIN-WIN situation... but nothing happened till now!!!

Sasa tutawezaje kumuamini katika haya ya jana????

hata hutuba yote ni nyepesi sana. Iwekwe zezani ijadiliwe na wadau
 
Sikumuelewa JK aliposema tunauza bidhaa zaidi kenya. Binafsi, hii kauli inahitaji uthibitisho, nachofahamu bidhaa za kenya ndio zinauzwa zaidi Tz, Kuanzia , Sabuni za kuogea, dawa za meno, madawa ya binadamu na mifugo, mafuta ya kupikia etc. kwa wale wa mipakani eg. Namanga wanauziwa "Sukuma wiki" toka Kenya. Labda anamaanisha unga wa ngano wa bakhresa ndo kitu pekee nilichokiona Kenya from TZ.
 
Sikumuelewa JK aliposema tunauza bidhaa zaidi kenya. Binafsi, hii kauli inahitaji uthibitisho, nachofahamu bidhaa za kenya ndio zinauzwa zaidi Tz, Kuanzia , Sabuni za kuogea, dawa za meno, madawa ya binadamu na mifugo, mafuta ya kupikia etc. kwa wale wa mipakani eg. Namanga wanauziwa "Sukuma wiki" toka Kenya. Labda anamaanisha unga wa ngano wa bakhresa ndo kitu pekee nilichokiona Kenya from TZ.

Nadhani sisi tunauza zaidi raw materials Kenya ....wakati wenzetu wakinunua wanaprocess viwandani an kuja kutuuzia tena au kuuza ulaya na marekani wanakopata hela nzuri zaidi.
 
Hotuba zilizojaa mzaha na utekelezaji wake hauonekani kwa macho." Wake up tanzanians and stop dreaming"

 
Last edited by a moderator:
anataja yale yale rushwa,wizi,utendaji,madawa ambayo katuletea usanii mtupu,sasa sijui anamaanisha ataendeleza hivyo hivyo ama vip?Pia anatuhimiza tuisifie PCCB iliyomsafisha EL na Vijisenti ili wapate moyo so wadau nafikiri mwelekeo wa taifa 2015 mmeuoana, labda hajataja ni fisadi gani atamwachia madaraka.
 
Kufuatia hotuba ya kikwete bungeni jana (18.11.2010) akifungua bunge la 10, maneno aliyomalizia hotuba yake yalinipa kuona giza nene katika future ya Tanzania katika kipindi cha utawala wa kikwete kutokana na sababu zifuatazo:-
(1) kwa mbinu alizotumia kuingia katika kiti cha urais kwa wizi wa kura- wakati wote raslimali nyingi ataelekeza katika kujihami-akijua yeye ni adui wa sehemu kubwa ya jamii!!!!!!Anajua kwa nini CDM waliondoka lakini hakugusia, badala yake alikejeri tu kijeuri kwamba msiwaze ......!!!!!!!!!!!
(2) genge la mafisadi lililomzunguka ambalo lililomwingiza kwenye madaraka haya ni mamluki wa uchumi wa taifa hili-kwa vile yeye na wao wanajua hiki ni kipindi cha kikwete cha mwisho, watafanya maximum looting!!!!!!!!! Hawatabakiza kitu!!!!!!!!!!!!!!!!!
(3) kikwete hana nchi hii ndani ya moyo wake-lo lote la kunusuru taifa hili kwake ni vita ya ukombozi- hivyo mbinu zake nyingi zitakuwa ni za kujihami!!!!!!!!!
(4) hatakuwa tayari kukubali mabadiliko ya tume na katiba!!!!!!!!!!!!!!!!!! sasa bila haya mabadiliko yapi yatawezekana!!!!!!!!!!!
(5) sisiemu sasa imepoteza sifa ya kuwa chama cha kuleta maendeleo zaidi ya kuwa chombo cha kulinda serikali ya kifisadi. kinaongozwa na mafisadi EL, RA, AC, YM, kikwet akitumiwa tu kama ngao!!!!!!!!
(6) bungeni watatumia nguvu ya wingi wa kura kuhujumu sera zo zote zenye nia ya kuleta mabadiliko ya kuboresha maisha ya watanzania!!!!!!!!!!
(7) ni sera ya mafisadi kutumia ujinga kuendelea kutawala-hawataruhusu elimu ya kuamsha jamii ya kuweza kutishia utawala wao dhalimu!!!!!!
(8) bila mkakati madhubuti wa kuleta change hili ni tatizo haswa! kikwete na henchmen wake hawataachia madaraka kwa ridhaa-maneno yake ya kumalizia bungeni jana ni ushahidi tosha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mr president....niko makini sana na semi zangu....maana ukweli haufichiki kwamba hakuwa na uwezo wa kushinda kihalali...so hata mi SIMTAMBUI KAMA RAISI WA TZ . Ukisikiliza hotuba ya huyu mtu kwa kweli unagundua kwamba huyu jamaa ana ufinyu mkubwa wa kupambanua mambo .....Mara nyingi hotuba zake ni za tumefanya hivi bila evidence. Na ni wepesi sana wa kuchukua mipango ya wahisani kuweka kama sera zao au effort zao za kusaidia nchi.. Wanachukua road maps za benki ya dunia na wahisani wengine na kusema wao ndo wanatekeleza.....hivi anadhani watanzania bado ni wajinga kiasi cha kushindwa kupambanua mambo ? I am very ashamed of this guy....

Heshima mkuu na ngoja tu wamalize Wamisri tunagonga home kwa Kikweteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom