ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
kutokatoka football au kitimtimu football club, au ingeitwa kichaa serengeti football
Kutokana na kufanya vibaya kwa timu ya Taifa wakati fulani Rais Msataafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi aliwahi kuipa jina '' KICHWA CHA MWENDAWAZIMU''
Sasa mimi kutokana na kuiona mara ifanye vizuri mara ifanye vibaye nimefikiria jina ambalo naweza kuinikiname
'''''''''''''''''''' PRESURE INAPANDA PRESURE INASHUKA''' Wewe unaiitaje?