Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,683
- 26,168
Tuige wanavyofanya huko Kenya. Hawa jamaa wameendelea sana. Ukileta uhuni unanyamazishwa kimafia mafia, mchezo mzima unakwisha.Katiba na hili wapi na wapi!..
Bado hujaelezea uhusiano wa katiba na kunyamazishwa kimafia. Nasubiri!..Tuige wanavyofanya huko Kenya. Hawa jamaa wameendelea sana. Ukileta uhuni unanyamazishwa kimafia mafia.
Utasubiri sana....Nasubiri!..
Mbona unapatwa na mchecheto. Vipi?Wewe ndio ulitakiwa utolewe mfano kwa taifa letu.
Hilo nilikusudia maanake nilijua haukuwa na la mno!Utasubiri sana.
Mimi nakuambia tuige wakenya wanavyomaliza mambo kimafia mafia wewe unaanza oh nasubiri sijui nini. Huoni demokrasia ya wakenya inavyofanya kazi yake?Hilo nilikusudia maanake nilijua haukuwa na la mno!
Halafu hawa akina Tundu Lisu eti wanakimbilia Kenya.Hata mimi mwenyewe naona Serikali yetu ni dhaifu na nyonge inaruhusu ujinga mwingi sana, watu kama Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. wangekuwa Kenya sasa hivi wangeshafilisiwa na kufungiliwa mbali zamani sana, Wakenya ni Mafia huyo Ruto ni Makamu wa Raisi kama mama Samia, lkn yuko upande wa pili sasa wanakula naye sahani moja, dadadeki.
Huo ni uhuni ambao bado unachunguzwa. Na ndipo nikakuuliza. Fafanua vile uhalifu wa mtu binafsi uko na mahusiano na ujio wa katiba ya Kenya?. Bado nasubiri!.Mimi nakuambia tuige wakenya wanavyomaliza mambo kimafia mafia wewe unaanza oh nasubiri sijui nini. Huoni demokrasia ya wakenya inavyofanya kazi yake?
Endelea kusubiri kidogo....Bado nasubiri!.
Siwezi subiria hewa. Najua lilikuwa wingu tasa tuu!..Endelea kusubiri kidogo.
Wakati unasubiri tafakari hapa. Mambo yanamalizwa fasta fasta tu. Unasema huo ni uhuni tu eenh?Siwezi subiri hewa. Najua lilikuwa wingu tasa tuu!..
Wakati unasubiri tafakari hapa.
Pa kutokea wapi?Bado ni ile hali ya kusogeza vikingi tuu baada ya kukosa pa kutokea!.
Tafuta tuu utapapata!.Pa kutokea wapi?
Jamaa kajiua; au vipi?Tafuta tuu utapapata!.