Tuhuma zangu kwa Lema

Mbona hakuna conclusion kwenye mada yako?
Imeisha tu kimya kimya kama cinema la kihindi maana lenyewe huwa linaanza mwanzo mwisho na mwisho mwanzo, yani Sterlingi anakufa. Kwenye maua lafu inakuja simulizi kutoka kwa mtot wa stelingi.
 
hili ndio tatizo la cdm hasa member wake humu jf.wote walio jibu hakuna hata mmoja mwenye positive mind au tu wa kusema kwa kauli za kiungwana .tatizo nn wana jf tuwe magt hapo kuna upuuz ila pia kuna la kuangalia

isue sio positive mind tu, but b4 that chuja kwanza mkuu!! mleta mada anajitaja ni msomi bt ukisoma kwa makini unagundua kuwa ni majungu na ubabaishaji, kama mmemtuma mwambieni arudi tena ajipange upya, JF ni kwa Great Thinker na sio wahuni!!
Rudini mjipange!!!
 
Hivi mheshimiwa lema kufunga shule kama mbunge inakubalika kisheria? Maana nimesikia shule aliyoifunga mkuu wa wilaya kaifungulia ila kamuondolea madaraka mkuu wa shule.
 
Siamini kama huyu ni product ya udsm ., na kama kweli bsi elimu kwisha.
 
wewe na mdogo wake Lema wote mko UDSM kwa mujibu wa maelezo yako halafu mtu aliyekushawishi anaambiwa asiende sababu kuna fujo lakini wewe unashawishiwa uende unakubali kama ulishindwa kujisimamia unataka nani akusimamie kuna uwezekano mkubwa umetunga hiyo story kwani kwa mtu wa upeo wako ulitakiwa kuchukua maamuzi sahihi toka mwanzo ya kutokwenda
 
Anza kukusanya Saini na familia yako ili umuondolee ubunge wake
 

naomba sana muujiuliza, what was Lema's Profesion earlier kabla hajaingia siasani, si alikuwa katika kundi la wezi wa MGARI pale ARUSHA, alikuwa akifanya kazi ya kuuza magari yanayo ibiwa kenya na kuletwa Arusha. LEO AMEKUWA MKOMBOZI. BAD CHOICE OF A LEADER huyu Bwana ataingausha CDM he is big liability, na hajui kuzungumza, and he is a very un-predictable person, ONCE A THIEF ALWAYS ِA THIEF
 
pole sana dogo, huyo ndo lema aliyekuwa kwenye mtandao wa waiba magari. ulitegemea nini? mdogo wake akamkataza asiende kwa sababu kutakuwa na vurugu, ila wewe chasaka poa, nenda ukafe, halafu hakutaka kuongea na wewe wakati ukiumwa igunga akijua fika huna nauli ya kukufikisha Arusha. Jifunze, wanasiasa ni watu kwa sura tu.
 
acha jazba wewe, lema alikataza mdogo wake asiende kwa sababu kuna vurugu. hebu nitajie ni vurugu/maandamano yapi viongozi waliwahi kuuawa? lema anajua jinsi ya kujihami lakini mdogo wake bado na ndo maana akamkataza. unabisha hata vitu vilivyowazi? we vipi? kalewe mbege huko. kumbuka pia alikuwa kwenye mtandao wa wezi wa magari, kwa hiyo amekwepa mengi.
 

aisee

wewe ni shoga??
 
Mkuu ungekua una akili timamu ningetembea uchi samora avenue
 
enhe tumekusikia, then? Mbona hueleweki unataka nini? Au bado unaumwa unataka ukatibiwe? Sema shida yako ni nini sasa?? Ebu jieleze ueleweke kama msomi dogo!
katumwa na lumumba huyo dogo, hata kujieleza ni matatizo, nashindwa kuamini kama ni msomi kweli
 
that is real happen and i cant talk more on this if you don't satisfy just email me ,the aim of writing this is to make people know and not to make confusion with you people all in all massage sent
Pamoja na kubadilisha kwako language bado unajidhiirisha jinsi ulivyo mbumbumbu wewe pamoja na post yako hii.Jaribu tena baadae
 
Hahahahaha,
Mkuu kweli hawa jamaa ni misukule wao wanakwenda kama misukule tuu ukiwaambia kiongozi wao ana kasoro watakuporomoshea matusi utafikiri wana shehena ya matusi

Vipi baba yako anatoka lini inamaana hata wanao kutumia hawaoni umuhimu wako wakusaidie baba atoke kweli wewe ndiye msukule wa nape wenzako wamechoka sana bado hawaja amka wakiamka utona ----- wao watakavyo andika tena kuna neno LEMA wakiona wanatoka jasho la kwenye meno
 
Eti huyu naye ni Mwanafunzi wa UDSM?! Sitaki kuamini my beloved UDSM umefikia hatua ya kuchukuwa wanafunzi vilaza kama huyu?
 
UDSM ipi Mzee, ya enzi za Jenerali, Chachage, Warioba, ? Au hii ya washinda Kona bar-Sinza
na ndio maana nauliza udsm ipi kama hii ya sasa basi sina wakati kupoteza kuendelea kutembelea uzi huu kwani nimejionea mengi R.I.P Prof. chachage pumzika kwa amani jembe la ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…