Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Kuna muhenga mmoja aliwahi kusema "Everything has a price"
Leo tumeona 'dogo' Elias Michael mbunge nje ya Bunge wa Buyungu Kwa tiketi ya CDM ameamua kujiunga na CCM.
Ukisoma between the lines kuna dark side inayowavuta shimoni hawa watu wa jamii hii. Wahamiaji wapo wa Aina 2, kuna wanaoenda Kwa njaa zao kabisaaaa mf ndg Moses Machali mkuu wa wilaya ya Nanyumbu na Kaka yangu Kafulila. Hawa njaa iliwanyoosha hasa na daima hakuna baunsa kwenye njaa. Aina ya pili ni watu kama kina Mtatiro, Mtulia, Dr Molel na mkuu wa wilaya wa Dodoma ndg Patrobas Katambi. Hawa walinunuliwa Kwa bei tofauti tofauti tena kama biashara ya watumwa, kama mnada yani.
How much did the buyer pay? Hii unahitaji ku-dig deep! Mwanasiasa kama Mtatiro was strong and guru katika upinzani na dau lake lilikuwa nono haswaa. Hii yote wanunuzi walikuwa wanatafuta namna nzuri ya kupunguza wapiga kelele nje ya darasa na wamefanikiwa.
Juhudi hizi zimepelekea democrasia kupalalaizi na sasa we have almost a teethless dogs ambao hata ku-organize maandamano hawawezi. Yaani wakitangaza tu maandamano, kubwa la maadui akiunguruma wapinzani huishia kuchungulia madirishani na kuandamania mitandaoni!
Simlaumu dogo Michael Eliah, he had also the price na real mnunuzi kafika bei na kaondoka huku akipewa shati kubwa la kijani kama turubai la Fuso kwenye Passo!
Najua moyoni anaumia kuona amemsaliti Marehemu Kasuku Birago na wana Buyungu ila ndo hivyo, pesa mwanaharamu! Unaweza kukuta CCM wamemuahidi kumrithi Eng Chiza as umri unamuacha na sharti ni awe wa kijani au atakuwa katishiwa beyond the capacity he could hold akaamua Bora asalimishe maisha yake! Serikali ina mkono mrefu na madaraka ni matamu! So, once a threat need containment or elimination!
Nitamatishe Kwa kusema kuwa hata wengi tuliomo humu kila mmoja ana bei yake! Siasa za harakati tuwaachie kina Che Guevara na Fidel Castro!! Ukibananishwa utayeyuka tu!
Leo tumeona 'dogo' Elias Michael mbunge nje ya Bunge wa Buyungu Kwa tiketi ya CDM ameamua kujiunga na CCM.
Ukisoma between the lines kuna dark side inayowavuta shimoni hawa watu wa jamii hii. Wahamiaji wapo wa Aina 2, kuna wanaoenda Kwa njaa zao kabisaaaa mf ndg Moses Machali mkuu wa wilaya ya Nanyumbu na Kaka yangu Kafulila. Hawa njaa iliwanyoosha hasa na daima hakuna baunsa kwenye njaa. Aina ya pili ni watu kama kina Mtatiro, Mtulia, Dr Molel na mkuu wa wilaya wa Dodoma ndg Patrobas Katambi. Hawa walinunuliwa Kwa bei tofauti tofauti tena kama biashara ya watumwa, kama mnada yani.
How much did the buyer pay? Hii unahitaji ku-dig deep! Mwanasiasa kama Mtatiro was strong and guru katika upinzani na dau lake lilikuwa nono haswaa. Hii yote wanunuzi walikuwa wanatafuta namna nzuri ya kupunguza wapiga kelele nje ya darasa na wamefanikiwa.
Juhudi hizi zimepelekea democrasia kupalalaizi na sasa we have almost a teethless dogs ambao hata ku-organize maandamano hawawezi. Yaani wakitangaza tu maandamano, kubwa la maadui akiunguruma wapinzani huishia kuchungulia madirishani na kuandamania mitandaoni!
Simlaumu dogo Michael Eliah, he had also the price na real mnunuzi kafika bei na kaondoka huku akipewa shati kubwa la kijani kama turubai la Fuso kwenye Passo!
Najua moyoni anaumia kuona amemsaliti Marehemu Kasuku Birago na wana Buyungu ila ndo hivyo, pesa mwanaharamu! Unaweza kukuta CCM wamemuahidi kumrithi Eng Chiza as umri unamuacha na sharti ni awe wa kijani au atakuwa katishiwa beyond the capacity he could hold akaamua Bora asalimishe maisha yake! Serikali ina mkono mrefu na madaraka ni matamu! So, once a threat need containment or elimination!
Nitamatishe Kwa kusema kuwa hata wengi tuliomo humu kila mmoja ana bei yake! Siasa za harakati tuwaachie kina Che Guevara na Fidel Castro!! Ukibananishwa utayeyuka tu!