Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Kuna kila ishara Mheshimiwa Rais Magufuli anaielekeza nchi yetu kwenye machafuko na vurugu, kwa hiyo mwakani tufanye kila linalowezekana tumpumzishe, nafasi ya Urais ni kubwa sana kwake jamani anajitutumua basi tu!
Nafikiria lugha za matusi na wito wa vurugu ambazo yeye, Katibu Mkuu wa Chama chake, baadhi ya mawaziri wake, Spika wa Bunge, Msajili wa Vyama vya Siasa, wakuu wake wa mikoa na wilaya, wabunge na polisi wanazozitoa na kuhamasisha raia wapigwe, wavunjwe miguu na "kuwatia mimba" raia wasiowaunga mkono...nikifikiria hivi naogopa sana, nchi yetu haipaswi kuongozwa na mtu wa namna hii!
Ndugu zangu na sisi tuhamasishane tumtoe huyu mtu, watu kama Lissu, Bernard Membe,,Zitto Kabwe, Freeman Mbowe wanapaswa kupewa moyo na kuungwa mkono tumwondoe huyu Rais mhamasisha machafuko..
We have seen enough of him, akwende zake huko!
Nafikiria lugha za matusi na wito wa vurugu ambazo yeye, Katibu Mkuu wa Chama chake, baadhi ya mawaziri wake, Spika wa Bunge, Msajili wa Vyama vya Siasa, wakuu wake wa mikoa na wilaya, wabunge na polisi wanazozitoa na kuhamasisha raia wapigwe, wavunjwe miguu na "kuwatia mimba" raia wasiowaunga mkono...nikifikiria hivi naogopa sana, nchi yetu haipaswi kuongozwa na mtu wa namna hii!
Ndugu zangu na sisi tuhamasishane tumtoe huyu mtu, watu kama Lissu, Bernard Membe,,Zitto Kabwe, Freeman Mbowe wanapaswa kupewa moyo na kuungwa mkono tumwondoe huyu Rais mhamasisha machafuko..
We have seen enough of him, akwende zake huko!