Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

hahahaaa...... Si ukweli lakini?

Nikweli, yaani nimewish ningekua nakula ugali mkubwa la mwidebe na mabele na kasato. Halafu nikishiba nianze kuimba : Kubyala ng'wana ngosha kwilolela bhanu kaganda kaganda....
 
Nikweli, yaani nimewish ningekua nakula ugali mkubwa la mwidebe na mabele na kasato. Halafu nikishiba nianze kuimba : Kubyala ng'wana ngosha kwilolela bhanu kaganda kaganda....

hahahaaa... Kubyala ng'wana nkima kwilole bhanu kaganda kaganda kaganda,,,, ukubya na ghoni na ung'wana alebhi nalisundasusunda.... Aririririiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!
 
hahahaaa... Kubyala ng'wana nkima kwilole bhanu kaganda kaganda kaganda,,,, ukubya na ghoni na ung'wana alebhi nalisundasusunda.... Aririririiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!

Hahaha aisee, hizi I'd za jf zinaficha mengi wewe sio mtoto wa bamdogo kweli?
 
ebu andaeni mioyo yenu ni miili yenu kwa ibada kesho..
sitsheni hayo mambo bana..mtawa nimesema
Utayashinda ingawa kwa mbinde!

Mi mzima mwallu niko na Filipo hapa tunaangusha ndovu taratiiibu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…