donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
- Thread starter
-
- #61
Hahahaah! Hata ukiwa na mkwanja akiibuka mwenye mkwanja zaidi yako unapigwa chini vilevile.
Aisee mkuu kama huna bahati ndugu yangu bora ujikalie mbali tu,,,,,,,mimi humu kila nikijitahidi napewa za mbavu,,,,,,,,nimeamua kuwa peke yangu hahahahaah!!
Ndio mambo ya ngawira haya yaani, kule kwetu kijijini ukimhonga mtoto manumbu au michembe basi unaonekana boonge la mtu.
Ndio mambo ya ngawira haya yaani, kule kwetu kijijini ukimhonga mtoto manumbu au michembe basi unaonekana boonge la mtu.
Hahahahahaaaa Katavi umenichekesha sana aisee
Hivi ulishawahi kujisogeza kwa nani vile? Ni Eliza wa Tegeta au nani?
Uje tuongee tuone namna ya kukusaidia mkuu
Kivipi?
mambo Vipi....?
...kila lenye kheri mkuu.
Ndio mambo ya ngawira haya yaani, kule kwetu kijijini ukimhonga mtoto manumbu au michembe basi unaonekana boonge la mtu.
hahahaaa tena manumbu matale matale na mabhele lol!
Hahaha, umenifurahishaje?