TUCTA,TUGHE,CWT mpo wapi kutetea wafanyakazi?

BINARY NO

JF-Expert Member
Dec 29, 2011
2,148
2,160
Katika hali isiyokua ya kawaida Watumishi wa Tanzania wameendelea kunyanyaswa,kudharauliwa na kuonekana sio lilote wala chochote katka kuijenga Tanzania.

Tokea Serikali hii ya Awamu ya Tano kuingia Madarakani haijawahi kuwajali wala kuwaongezea ata senti tano licha ya sheria za kimataifa kuitaka seriakali ifanye hivyo.

Mishahara aliyoiacha #JK na Madaraja aliyoyaacha JK hayajawahi badilika hata nukta Serikali itambue kama JK sukari ilikua 1800 Leo ni 2800....

Hivi serikali kwanini inawafanya Watumishi kama watoto wadogo? Hivi Serikali inategemea Tija kwenye utumishi?

Viongozi wetu wa vyama vya wafanyakazi hivi wapo kweli? Au nao ni sehemu ya kutunyonya watumishi? Hivi wanashindwa nini kutungaza mgogoro na Serikali hii ya Awamu ya tano? Hivi wanaogopa kwenda jela au sero kwa kutetea watumishi wao? Hivi hawajui kama tunakatwa 02% kwa ajili yao?

Hivi hawakuwepo siku ya mei mosi na hawakusikia ahadi za kiongozi mtawala huyu? Je kuna haja ya kuwa na TUCTA? Hivi Bunge letu halioni dhuluma hii
 
Katika hali isiyokua ya kawaida Watumishi wa Tanzania wameendelea kunyanyaswa,kudharauliwa na kuonekana sio lilote wala chochote katka kuijenga Tanzania....Tokea Serikali hii ya Awamu ya Tano kuingia Madarakani haijawahi kuwajali wala kuwaongezea ata senti tano licha ya sheria za kimataifa kuitaka seriakali ifanye hivyo...Mishahara aliyoiacha #JK na Madaraja aliyoyaacha JK hayajawahi badirika ata nukta Serikali itambue km JK sukari ilikua 1800 Leo ni 2800....Hivi Serikali kwanini inawafanya Watumishi km watoto wadogo? Hivi Serikali inategemea Tija kwenye utumishi?
Viongozi wetu wa vyama vya wafanyakazi hivi wapo kweli? Au nao ni sehemu ya kutunyonya Watumishi? Hivi wanashindwa nini kutungaza mgogoro na Serikali hii ya Awamu ya tano? Hivi wanaogopa kwenda jera au sero kwa kutetea Watumishi wao? Hivi hawajui km tunakatwa 02% kwa ajiri yao? Hivi hawakuepo Siku ya mei mosi na hawakusikia ahaadi za kiongo za mtawala uyu? Je kuna haja ya kua na TUCTA? Hivi Bunge letu halioni dhuluma hii
Kamwe hutosikia mtumishi akigoma awamu hii,maana wanaweza kufutwa kazi wote na kuajiriwa wengine wapya ...kuna Graduate wengi sana wanasubiri ajira serikalini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vyama vyetu haviko huru viongozi wetu ni wanafiki na huishia kujipendekeza kwa watawala baadili ya kuwatetea wafanyakazi.Huko mbeleni ni bora ibaki mfanyakazi kujiunga huko iwe hiari yake.CWT, TUGHE, TUCTA yote yamekuwa matawi ya CCM.
 
Hivi bado unawaamini hawa. Hawa si watu wema, hawawezi kupinga maana wao ni kundi lilelile.zaidi sana wataunga mkono kutopatikana haki za watumishi.
 
Katika hali isiyokua ya kawaida Watumishi wa Tanzania wameendelea kunyanyaswa,kudharauliwa na kuonekana sio lilote wala chochote katka kuijenga Tanzania.

Tokea Serikali hii ya Awamu ya Tano kuingia Madarakani haijawahi kuwajali wala kuwaongezea ata senti tano licha ya sheria za kimataifa kuitaka seriakali ifanye hivyo.

Mishahara aliyoiacha #JK na Madaraja aliyoyaacha JK hayajawahi badilika hata nukta Serikali itambue kama JK sukari ilikua 1800 Leo ni 2800....

Hivi serikali kwanini inawafanya Watumishi kama watoto wadogo? Hivi Serikali inategemea Tija kwenye utumishi?

Viongozi wetu wa vyama vya wafanyakazi hivi wapo kweli? Au nao ni sehemu ya kutunyonya watumishi? Hivi wanashindwa nini kutungaza mgogoro na Serikali hii ya Awamu ya tano? Hivi wanaogopa kwenda jela au sero kwa kutetea watumishi wao? Hivi hawajui kama tunakatwa 02% kwa ajili yao?

Hivi hawakuwepo siku ya mei mosi na hawakusikia ahadi za kiongozi mtawala huyu? Je kuna haja ya kuwa na TUCTA? Hivi Bunge letu halioni dhuluma hii
Afadhali umeongea sense.

Utawala huu unaogopeka especialy unapoona yanayowatokea akina Lisu,Lema and the like........

Every one has a family and stomach to feed.

"the highest risk should give maximum profit"
 
Back
Top Bottom