M miss ngatara JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 473 Reaction score 167 Sep 13, 2014 #261 Excel said: muone kwanza! Unajiita miss wakat una umbo afazali ya asha boko! Twende twende na njaa zako leo! Lol Click to expand... Hilooo we wa wapi? We hujui kama kitambi fashion kila Dada wa Mjin ana kitambi mwangalie mwembamba kama fidodido
Excel said: muone kwanza! Unajiita miss wakat una umbo afazali ya asha boko! Twende twende na njaa zako leo! Lol Click to expand... Hilooo we wa wapi? We hujui kama kitambi fashion kila Dada wa Mjin ana kitambi mwangalie mwembamba kama fidodido
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Sep 13, 2014 #262 pilipili kichaa said: Miguu kaa fito! Click to expand... Twende.. Twende! Kwenu ni wengi mpaka vitanda ni self contained!
pilipili kichaa said: Miguu kaa fito! Click to expand... Twende.. Twende! Kwenu ni wengi mpaka vitanda ni self contained!
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Sep 13, 2014 #263 miss ngatara said: Hilooo we wa wapi? We hujui kama kitambi fashion kila Dada wa Mjin ana kitambi mwangalie mwembamba kama fidodido Click to expand... Kwenu ni wafupi sana mpaka mnatumia winchi kufikia meza wakati wa kula! Twende... Kwenu Tanesco wamegoma kuweka umeme sababu ya uchafu wenu..! Eti mnaweza kukwangua nyaya kwa harufu! Dah!
miss ngatara said: Hilooo we wa wapi? We hujui kama kitambi fashion kila Dada wa Mjin ana kitambi mwangalie mwembamba kama fidodido Click to expand... Kwenu ni wafupi sana mpaka mnatumia winchi kufikia meza wakati wa kula! Twende... Kwenu Tanesco wamegoma kuweka umeme sababu ya uchafu wenu..! Eti mnaweza kukwangua nyaya kwa harufu! Dah!
M miss ngatara JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 473 Reaction score 167 Sep 13, 2014 #264 Excel said: Kwenu ni wafupi sana mpaka mnatumia winchi kufikia meza wakati wa kula! Twende... Kwenu Tanesco wamegoma kuweka umeme sababu ya uchafu wenu..! Eti mnaweza kukwangua nyaya kwa harufu! Dah! Click to expand... Urefu kama ngongoti,
Excel said: Kwenu ni wafupi sana mpaka mnatumia winchi kufikia meza wakati wa kula! Twende... Kwenu Tanesco wamegoma kuweka umeme sababu ya uchafu wenu..! Eti mnaweza kukwangua nyaya kwa harufu! Dah! Click to expand... Urefu kama ngongoti,
mtuwako Member Joined Sep 7, 2014 Posts 99 Reaction score 34 Sep 13, 2014 #265 miss ngatara said: Ha ha ha excel umeniweza lakin sikubali twende twende macho makubwa utarikir mjus kabanwa na mlango Click to expand... Una domo kama la chewa maneno mbofu mbofu kam mlima kitonga. Twende twende
miss ngatara said: Ha ha ha excel umeniweza lakin sikubali twende twende macho makubwa utarikir mjus kabanwa na mlango Click to expand... Una domo kama la chewa maneno mbofu mbofu kam mlima kitonga. Twende twende
M miss ngatara JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 473 Reaction score 167 Sep 13, 2014 #266 mtuwako said: Una domo kama la chewa maneno mbofu mbofu kam mlima kitonga. Twende twende Click to expand... Kichwa kikubwa utafikir Mpira wa kichangani twende twende
mtuwako said: Una domo kama la chewa maneno mbofu mbofu kam mlima kitonga. Twende twende Click to expand... Kichwa kikubwa utafikir Mpira wa kichangani twende twende
mtuwako Member Joined Sep 7, 2014 Posts 99 Reaction score 34 Sep 13, 2014 #267 miss ngatara said: Kichwa kikubwa utafikir Mpira wa kichangani twende twende Click to expand... Una mwili kama kontena la mtumba Twende twende
miss ngatara said: Kichwa kikubwa utafikir Mpira wa kichangani twende twende Click to expand... Una mwili kama kontena la mtumba Twende twende
M miss ngatara JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 473 Reaction score 167 Sep 13, 2014 #268 mtuwako said: Una mwili kama kontena la mtumba Twende twende Click to expand... Mitege hiyo kama banio la ugali twende twende
mtuwako said: Una mwili kama kontena la mtumba Twende twende Click to expand... Mitege hiyo kama banio la ugali twende twende
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,249 Reaction score 3,070 Sep 13, 2014 #269 Excel said: Kwenu masikini mpaka mmeamua ...(duh! Nimesahau kumalizia..! Lol) Click to expand... Huna lolote ndomana unanuka kwapa kama ushuzi wa mayai looh
Excel said: Kwenu masikini mpaka mmeamua ...(duh! Nimesahau kumalizia..! Lol) Click to expand... Huna lolote ndomana unanuka kwapa kama ushuzi wa mayai looh
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Sep 13, 2014 #270 Sirdirashy said: Huna lolote ndomana unanuka kwapa kama ushuzi wa mayai looh Click to expand... muone! Huna hata aibu! Kiuno saiz 30, unalazimisha kuvaa jeans saiz 48! Kichwa kontena.. Akili kisoda!
Sirdirashy said: Huna lolote ndomana unanuka kwapa kama ushuzi wa mayai looh Click to expand... muone! Huna hata aibu! Kiuno saiz 30, unalazimisha kuvaa jeans saiz 48! Kichwa kontena.. Akili kisoda!
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Sep 13, 2014 #271 miss ngatara said: Urefu kama ngongoti, Click to expand... Mcheki alivyo! Ndo maana unalia huku unakonyeza konyeza! (Mcheki sasa alivyojaribu kukonyeza huku anajaribu kulia! Hahahaa! Haiwezekani..)
miss ngatara said: Urefu kama ngongoti, Click to expand... Mcheki alivyo! Ndo maana unalia huku unakonyeza konyeza! (Mcheki sasa alivyojaribu kukonyeza huku anajaribu kulia! Hahahaa! Haiwezekani..)
M miss ngatara JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 473 Reaction score 167 Sep 13, 2014 #272 Excel said: Mcheki alivyo! Ndo maana unalia huku unakonyeza konyeza! (Mcheki sasa alivyojaribu kukonyeza huku anajaribu kulia! Hahahaa! Haiwezekani..) Click to expand... Mwangalie macho meupe kama mwali kiwanga
Excel said: Mcheki alivyo! Ndo maana unalia huku unakonyeza konyeza! (Mcheki sasa alivyojaribu kukonyeza huku anajaribu kulia! Hahahaa! Haiwezekani..) Click to expand... Mwangalie macho meupe kama mwali kiwanga
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,249 Reaction score 3,070 Sep 13, 2014 #273 Excel said: muone! Huna hata aibu! Kiuno saiz 30, unalazimisha kuvaa jeans saiz 48! Kichwa kontena.. Akili kisoda! Click to expand... Nenda huko ndomana sura yako imekomaa kama bi kidude
Excel said: muone! Huna hata aibu! Kiuno saiz 30, unalazimisha kuvaa jeans saiz 48! Kichwa kontena.. Akili kisoda! Click to expand... Nenda huko ndomana sura yako imekomaa kama bi kidude
Lipa Kwanza JF-Expert Member Joined Jul 8, 2014 Posts 229 Reaction score 28 Sep 15, 2014 #274 ndo maana unamnunulia dem maji ya chupa Tsh.1200/= nawe unajinunulia ya kiroba ya Tsh.50...twenty
pierre tall JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 4,246 Reaction score 3,735 Sep 15, 2014 #275 Meno kama makande ya gengeni
Omygad JF-Expert Member Joined Jul 23, 2013 Posts 632 Reaction score 278 Sep 18, 2014 #276 muku said: Tumbo kubwa kula kwa majirani,Domo pana chapati hukunji Click to expand... twende twende sura mbaya na tumbo kubwa kama u know le matuz
muku said: Tumbo kubwa kula kwa majirani,Domo pana chapati hukunji Click to expand... twende twende sura mbaya na tumbo kubwa kama u know le matuz
mtuwako Member Joined Sep 7, 2014 Posts 99 Reaction score 34 Sep 19, 2014 #277 Omygad said: twende twende sura mbaya na tumbo kubwa kama u know le matuz Click to expand... Inasinzia kwenye kiti ukiulizwa wasema unasema umesafiri. Twende twende
Omygad said: twende twende sura mbaya na tumbo kubwa kama u know le matuz Click to expand... Inasinzia kwenye kiti ukiulizwa wasema unasema umesafiri. Twende twende