Tubadilike

Tubadilike

Wengine homosexuality member kuolewa au kuowa hakuwahusu.
Kuna mdada alikuwa mkali akitongozwa (hapendi wanaume)
Majuzi tumeona cctv foot (video akifanya u lesbian na mdada wa support) sijaamini ila ndio hivo.
Siku 6 leo haonekani viunga vya ofisi (kabla hata hajahukumiwa na board)
Mwanamke miaka 35 hujaolewa,unatatizo gani?
Mwanaume miaka 45 hujaoa nawe unatatizo gani?
Chukueni hatua wakuu,msijekuwa 'reject'
 
Mkuu umeanza kuleta mambo ya kusagana hapa , hebu nieleweshe hiyo njia ya kujanza dunia bila mwenza
Namaanisha wanawake wenye kipato wanaoa wanaume wasiokuwa na kipato ili 'couple' ikamilike
 
Yani nikijaribu kuvaa uhusika eti niolewe ili kumfurahisha fulani picha haiji kabisa...nafikiri wapo wanaofanya hivyo
ha ha ha sio hivyo mkuu,viungo vya mwili vikikomaa tu utajikuta mwenyewe unatafuta mwenza
 
Wapo lakini waliwapata wakiwa na wenza wao hata Kama hawajahalishwa

Suala la kupata mtoto ni la dakika chache tu...huyo mwenza anaweza akawa alikuwa kwa ajili ya kutafuta mtoto tu sio ndoa

So kujaza dunia bila ndoa ni jambo la kawaida sana...sio kali ya mwaka
 
Wengine homosexuality member kuolewa au kuowa hakuwahusu.
Kuna mdada alikuwa mkali akitongozwa (hapendi wanaume)
Majuzi tumeona cctv foot (video akifanya u lesbian na mdada wa support) sijaamini ila ndio hivo.
Siku 6 leo haonekani viunga vya ofisi (kabla hata hajahukumiwa na board)
ha ha ha ukiona mtu umri umeenda ajishtukii,jua ana njia mbadala.
 
Suala la kupata mtoto ni la dakika chache tu...huyo mwenza anaweza akawa alikuwa kwa ajili ya kutafuta mtoto tu sio ndoa

So kujaza dunia bila ndoa ni jambo la kawaida sana...sio kali ya mwaka
Me sijakupinga kuhusu Hilo la ndoa, me nimekupinga kua unaweza jaza dunia bila mwenza
 
ha ha ha ha mambo ya hadithi za kusadikika katika ulimwengu halisi hazina nafasi mkuu
Acha ujinga ww
Mwanaume wa dar
Tulia uvalishwe Pete ww
tapatalk_1560276590971.jpeg
 
Kwa mtu mwenye akili iliyotulia viungo vya mwili kukomaa hakuhusiani na kuoa...unaweza kukomaa mwili na ukatafuta wa kuoa/kuolewa nae usipate na umri ukazidi kwenda tu
Kwa nini usipate mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom