ngulyabhule
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 302
- 619
Kuna mahali nadhani tunaparuka! Kwa mamna ya kauli za baadhi ya wabunge jana inaonesha dhahili kuwa hawako upande wa wananchi zaidi ya kuwaza matumbo yao!
Nadhani hawa tunawamudu kiurahisi mnoo majimboni kwanini tusianzishe mchakato majimboni kwa namna yoyote ile ili mradi tu na wao waipate hasira yetu!
Hawa tunawasahu ila wengi wao pia walipita kwa hujuma na ndiyo hawa tutegemee walete ushawishi wa kutetea taifa?!
Hapana, bunge lenye wabunge wa hovyo husababisha taifa la hovyoo!
Wasalaam
Nadhani hawa tunawamudu kiurahisi mnoo majimboni kwanini tusianzishe mchakato majimboni kwa namna yoyote ile ili mradi tu na wao waipate hasira yetu!
Hawa tunawasahu ila wengi wao pia walipita kwa hujuma na ndiyo hawa tutegemee walete ushawishi wa kutetea taifa?!
Hapana, bunge lenye wabunge wa hovyo husababisha taifa la hovyoo!
Wasalaam