Ni ukweli usiopingika kuwa muungano wetu una mapungufu makubwa japo watawala wetu wanaona kama dhambi mtu kutamka hili, lakini ukweli utabaki palepale. TANGANYIKA kwa muda mrefu imeonekana kama ndio TANZANIA ndio sababu wazanzibari wanalalamika kila kukicha wakifikiri wamemezwa na TANZANIA(wakifikiri ndiyo TANGANYIKA).
Lakini ukweli ni kwamba TANGANYIKA iepuuzwa sana.
kwa mfano;
ZANZIBAR ,
1) Wana majeshi (wanaita vikosi maalum)
2) Zanzibar inatambulika kama nchi na mipaka yake (katiba ya zanzibar)
3) Wana wimbo wao wa Taifa
4) Wana bendera yao
5) Wana serikali (Rais wao, baraza la wawakilishi)
6) Wana KATIBA yao
Katika huu mchakato wa kuunda katiba mpya ya muungano; Tufikirie kwanza kuwa na KATIBA YA TANGANYIKA (TANZANIA BARA), Halafu tuunde katiba mpya ya muungano(kama italazimu) kwa kupitia katiba mpya ya ZANZIBAR (Ipo tayari) na katiba mpya ya TANGANYIKA(haipo kabisa; imepuuzwa kwa muda mrefu) kwa kutekelezwa kwa haya hakika utata juu ya muungano utakwisha; Wazanzibari wataiona TANZANIA yao badala ya kufikiri ndiyo TANGANYIKA.
MUONEKANO WA ZANZIBAR NA MUONEKANO WA TANGANYIKA VIFANANE. ZANZIBAR wanapendelewa sana ndio sababi wanafikiri kuwa huu muungano una lengo baya juu yake (wanafikiri wanapewa danganyatoto).
Lakini ukweli ni kwamba TANGANYIKA iepuuzwa sana.
kwa mfano;
ZANZIBAR ,
1) Wana majeshi (wanaita vikosi maalum)
2) Zanzibar inatambulika kama nchi na mipaka yake (katiba ya zanzibar)
3) Wana wimbo wao wa Taifa
4) Wana bendera yao
5) Wana serikali (Rais wao, baraza la wawakilishi)
6) Wana KATIBA yao
Katika huu mchakato wa kuunda katiba mpya ya muungano; Tufikirie kwanza kuwa na KATIBA YA TANGANYIKA (TANZANIA BARA), Halafu tuunde katiba mpya ya muungano(kama italazimu) kwa kupitia katiba mpya ya ZANZIBAR (Ipo tayari) na katiba mpya ya TANGANYIKA(haipo kabisa; imepuuzwa kwa muda mrefu) kwa kutekelezwa kwa haya hakika utata juu ya muungano utakwisha; Wazanzibari wataiona TANZANIA yao badala ya kufikiri ndiyo TANGANYIKA.
MUONEKANO WA ZANZIBAR NA MUONEKANO WA TANGANYIKA VIFANANE. ZANZIBAR wanapendelewa sana ndio sababi wanafikiri kuwa huu muungano una lengo baya juu yake (wanafikiri wanapewa danganyatoto).