Tuanze kupata background ya Mulongo

alisababisha mama msemwa aliyekuwa DED BAGAMOYO kufikishwa mahakamani, kwa wasiomjua MULONGO MAGESA kabla yakuwa DC BAGAMOYO alikuwa anafanya kazi TISS

Hajawahi kufanya kazi TISS hiyo akili hana kuingia TISS wakati huo chini ya Mkapa au Mwinyi jamaa kabla hajaingia siasa alikuwa mfanyakazi wa posta akajiunga na umoja wa vijana CCM akawa kambi ya mafisadi ya akina Kikwete mwaka 2005 ndipo alipozawadiwa ukuu wa wilaya. Ila sijui elimu yake mwenye faili la kiwango cha elimu yake atuambie na kutufahamisha

Mulongo is ignorant, arrogant, uninformed, unwise, elusive, evasive and incompetent leader with no quality of leadership. By looking his body language and facial expression when he was giving speech at college compound you will see Mulongo lacks leadership skills and qualities but possess simple mind and low knowleage that cannot govern at such capacity level of regional commissioner except as a ward secretary at his home town.

Mulongo has proven as again that most Tanzania leaders get there through nepotisim, favoritism and cronyism rather than merits, intellect, integrity and professionalism.
 
Alikuwa Buhemba JKT mwaka 1993 oparesheni Miezi Sita akiwa kitengo cha Makisai!
 
Huyu Mulongo nilikua nikimuona Sumbawanga kama meneja TTCL,na mwezi mei mwishoni 2006 raisi JK alifanya ziara mkoani RUkwa kushukuru kwa kura nyingi walizompatia ktk uchaguzi wa 2005,ndipo ghafla alikutana na huyu jamaa na akashangaa kumkuta kule nadhani walikua wanafahamiana vizuri huko nyuma,basi baada ya muda akaaga kuwa amekua DC Bukombe na ndio hadi sasa kawa RC.
 
Kikwete haya mapumbavu huwa anayatoa wapi hivi?
 
Kwani huyu mzee yuko kwenye kambi ya wazee kama kule ughaibuni ambako ukipata nafasi ya kuwaosha masaburi na miguu unajidai kwani una uhakika wa kurudi bongo na mkweche?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

kama kazi anayofanya Chris Lukosi huko London..nasikia hao wazee wanampa likizo mwezi wa sita.
 
Katumwa huyo...
 
Akili na uwezo wa rais utautambua kwa uteuzi wa aina ya watendaji wake sasa hapo ndipo unaona akili ya kikwete.
 
Anasema kazi yake si kualika wabunge, sasa hizo simu huwa anawapigia za nini kama si kazi yake.
Ni mtu mwenye visasi na ubabe ubabe,JK amempeleka pale makusudi kwa nia maalum.Pinda alishawahi kumwonya kwa mambo yake hayo hayo asiyotumia akili wala busara katika utendaji wake,lakini JK bado akampeleka Arusha.
 
alianzia u dc bukombe. kabla ya hapo alikuwa meneja ttcl rukwa.

KAMA KAWAIDA YANGU NITASIMAMIA UTAIFA ZAIDI NA SI UCHAMA. NI KWAMBA HATA KAMA LEMA ANAKOSA KUONGEA NA WANAFUNZI KWA LUGHA ZA KUNDI HILO ILI WAMSIKILIZE ZAIDI PIA NI MOJA YA MBINU YA KUVUTA HISIA ZA KUNDI UNALOONGEA NAO.

MBINU ALIYOITUMIA MAGESA SI YA KIUONGOZI KABISA TENA KATIKA U RC, MAANA KIONGOZI ANATAKIWA AWE NA QUALITY ZIFUATAZO;
  1. MOBILIZATION POWER.
  2. ORGANIZING POWER.
  3. CONTROLING POWER.

SASA NDUGU YETU MAGESA KAKOSA NA HII IMEJIDHILISHA KWA MATUKIO MAKUBWA YAFUATAYO;


  • UKIANGALIA VIDEO ALIPOKUWA AKIONGEA NA WANAFUNZI WA HICHO CHUO CHA UHASIBU ARUSHA.
  • PIA ALIPOWAHI KUMTUKANA MBELE YA HADHARA KIONGOZI WA NGAZI ZA JUU WA JESHI LA POLISI WILAYANI BAGAMOYO WAKATI AKIWA DC, NA ALIMTUKANA MATUSI YA NGUONI NA KUMDHALILISHA OFISA HUYO ETI NI MLA RUSHWA MKUBWA NA AKAMFUKUZA KATIKA MKUTANO. HATA KAMA HUYO OFISA ALIKUWA NI MLA RUSHWA KWA CHEO CHAKE NA PIA NI MTUMISHI WA UMMA KUNA CHOMBO CHA KINIDHAMU KINGEWEZA KUCHUKUA HATUA NA SIO KUTUKANA TENA MBELE YA WANANCHI NA ASKARI WA VYEO VYA CHINI.

HIVYO HUYU KWA KWELI SI KIONGOZI. ILA NI BOSI. ANAFAA KUWA BOSI NA SI KIONGOZI.:angry:
 
alipokuwa DC wa Bukombe aliwahi kumpiga vibao mwandishi wa habari wa gazeti la Nipashe.
 
alipokuwa DC wa Bukombe aliwahi kumpiga vibao mwandishi wa habari wa gazeti la Nipashe.
Nimeunganisha comment zake nimepata picha ya hata tabia zake za utotoni, kumbe JF ni noma hata mie Jodoki mkinitafuta na ID yangu hii ya kichina mtanipata
 
Hana lolote huyu,ni mtu wa kutisha watumishi wenzake, wananchi wa Bukombe wanamjua kwa kukalia siasa za ccm na kuingilia ofis ya mkurugenzi akititafuta pesa za kuchakachua maana ofisi za madc hazipelekewi pesa za maendele na hawana mamlaka nazo.Baada ya Bukombe akahamishiwa Bagamoyo ambako baadae akapewa zawadi ya ukuu wa mkoa baada ya kufanya kazi katika mashamba ya bwana mkubwa.
 
alipokuwa DC wa Bukombe aliwahi kumpiga vibao mwandishi wa habari wa gazeti la Nipashe.
Sasa watu wa aina hii ndio tunatakiwa tujue baada ta ukombozi tuwafanyie nini, au tuwapeleke wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…