Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

Strong ladg

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
407
Reaction score
1,054
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kutokana na kuenea kwa elimu ya fedha, kwa sasa Watanzania wengi wamehamasika kuwekeza kwenye soko la hisa la Dar es Salaam Stock Exchange (DSE).

Cha kusikitisha ni kuwa wawekezaji wanakwama kwa stockbrokers ambao ndio wanahusika kumnunulia au kumuuzia hisa mwekezaji. Kwa sasa mitandaoni kuna malalamiko mbalimbali kuhusu madalali hao kuwa na huduma mbovu, kutojibu malalamiko ya wateja n.k.

Kwenye soko la hisa, muda ni zaidi ya mali. Dalali akikuchelewesha hata siku moja tu tayari ni hasara kubwa kwa sababu bei ya hisa inabadilika kila siku, na kwa soko la hisa la Dar es Salaam bei ya hisa ni kama inapaa kadri siku zinavyozidi kwenda.

Hivyo basi, tupeane uzoefu: dalali gani ana huduma nzuri na yupi ana huduma mbaya. Ili wawekezaji wanaosumbuka na madalali wabaya wawahame, kwa sababu inakera sana.

Mi naanza na dalali wangu msumbufu anaitwa Orbit Securities Co Ltd. Simu hawapokei, meseji hawajibu; yaani ni kama vile mimi ninawalazimisha wanihudumie, tena wanihudumie bure.

Mwanzo hawakuwa hivi, lakini kwa sasa huu usumbufu umenifika kooni, lazima nihame.

Karibuni tusaidiane.
 
Hivi kuna athari gani endapo nchi itaruhusu kununua hisa bila kutumia madalali?msinifokee lakini nna dose ya malaria halafu ni last born nielewesheni polepole
Dunia nzima naona mfumo ndo huo lazima dalali akununulie. Wataalam zaidi watatupa majibu kwanini imekuwa hivyo
Hapo weka na VERTEX, hawapokei simu, na wakipokea wanaweza hadi kukugombeza
Heeee yaani wanakugombeza? Si wafunge ofisi wakafanye kazi nyingine? . Wamelazimishwa kuwa madalali? Inatia hasira sana
 
Mimi mwenye Orbit nataka nimuhame niamie Solomon ndio naambiwa ana afazali kidogo ila Orbit hapana sishauri mtuu maana hata siku moja kwa sasa kuhusu hisa na hii trends ya CRDB naona wanatukwamisha hatari na hata iweje hawajibu wala kupokea simu na pia application ya DSE inasumbua huku hisa zinazidi kupaa
 
Mimi mwenye Orbit nataka nimuhame niamie Solomon ndio naambiwa analysis afazali kidogo ila Orbit hapana sishauri mtuu maana hata siku moja kwa sasa kuhusu hisa na hii trends ya CRDB naona wanatukwamisha hatari na hata iweje hawajibu wala kupokea simu na pia application ya DSE inasumbua huku hisa zinazidi kupaa
Hisa zinapaa sana. Sio CRDB tu,hisa zote zenye soko zinapaa. Ukichelewa siku moja ni hasara kubwa
 
Issue sio Broker issue ni Unauza Hisa Kiasi Gani?Hivi kweli Mtu una Portfolio ya 50k unataka Broker akutazame seriously?mnafikiri soko la hisa ni UPATU(Ponzi scheme) au kibubu?

Kama unataka Dalali ukachukulie serious kwanza uwe mwekezaji serious Sio umenunua Vihisa Vya Milioni 20 hata mwezi haujaisha ushaanza kutaka Kuviuza upate hela ya BIA.Kama tabia yako ni hio nenda UTT huko wao hawana Brokers wala nini.

Ujumbe wangu haulengi kuwavunja moyo wawekezaji ila ni kuwaambia tu kwamba Soko la hisa ni Play Ground ya watu wenye Ukwasi na ambao wana BUY na KUHOLD na sio kila siku kuuza na kununua mnafanya SOKO linakuwa na FUJO.Hisa zinapanda Bei bila uhalisia kwa sababu ya watu ambao hawana utulivu.Wakisikia za CRDB zinapanda wanakimbizana nazo mara wakisikia sijui za nani zimeshukua wanaanza kuuza kama nyumbu.

Matokeo yake mnafanya SOKO linakuwa Volatile kiasi kwamba Biashara ya Hisa inakuwa kama ya maandazi.

Kingine Zingatieni.Kwenye mfumo wa HISA wa DSE unapoweka BUY or Sell Order sio kwamba inafanyika in real time.Yale ni kama maelekezo kwa Broker wako,Na huwa hauko mwenyewe unayefanya Buy or Sell Order.Na ili Upate Hela lazima kuwe na Order match ya Buy na Sell sio ufikiri kwamba Ukiwa Bar ukataka kulipa Bill basi unaweza tumia hisa zako za laki moja kulipa Bili.

Stock Market is not for Broke People.Stock Market is for the Rich.Watu ambao wako katika level ya Financial Freedom na Pesa zao zinawafanyia kazi.

All in all Brokers wote wako vizuri na wanafanya kazi zao vizuri.Cha muhimu hakikisha Unatembelea ofisi ya Broker waka angalau mara moja hasa ukianza kuwekeza Pesa nyingi ili ufahamu aina ya watu ambao wanasimamia Pesa zako na pia ili wakushauri vyema ni wakati gani wa kununua,kuuza aua hata kufanya Private Sell.
 
Issue sio Broker issue ni Unauza Hisa Kiasi Gani?Hivi kweli Mtu una Portfolio ya 50k unataka Broker akutazame seriously?mnafikiri soko la hisa ni UPATU(Ponzi scheme) au kibubu?

Kama unataka Dalali ukachukulie serious kwanza uwe mwekezaji serious Sio umenunua Vihisa Vya Milioni 20 hata mwezi haujaisha ushaanza kutaka Kuviuza upate hela ya BIA.Kama tabia yako ni hio nenda UTT huko wao hawana Brokers wala nini.

Ujumbe wangu haulengi kuwavunja moyo wawekezaji ila ni kuwaambia tu kwamba Soko la hisa ni Play Ground ya watu wenye Ukwasi na ambao wana BUY na KUHOLD na sio kila siku kuuza na kununua mnafanya SOKO linakuwa na FUJO.Hisa zinapanda Bei bila uhalisia kwa sababu ya watu ambao hawana utulivu.Wakisikia za CRDB zinapanda wanakimbizana nazo mara wakisikia sijui za nani zimeshukua wanaanza kuuza kama nyumbu.

Matokeo yake mnafanya SOKO linakuwa Volatile kiasi kwamba Biashara ya Hisa inakuwa kama ya maandazi.

Kingine Zingatieni.Kwenye mfumo wa HISA wa DSE unapoweka BUY or Sell Order sio kwamba inafanyika in real time.Yale ni kama maelekezo kwa Broker wako,Na huwa hauko mwenyewe unayefanya Buy or Sell Order.Na ili Upate Hela lazima kuwe na Order match ya Buy na Sell sio ufikiri kwamba Ukiwa Bar ukataka kulipa Bill basi unaweza tumia hisa zako za laki moja kulipa Bili.

Stock Market is not for Broke People.Stock Market is for the Rich.Watu ambao wako katika level ya Financial Freedom na Pesa zao zinawafanyia kazi.

All in all Brokers wote wako vizuri na wanafanya kazi zao vizuri.Cha muhimu hakikisha Unatembelea ofisi ya Broker waka angalau mara moja hasa ukianza kuwekeza Pesa nyingi ili ufahamu aina ya watu ambao wanasimamia Pesa zako na pia ili wakushauri vyema ni wakati gani wa kununua,kuuza aua hata kufanya Private Sell.
Heee heee samahani ndugu. Kila mwekezaji ana haki sawa maana ni mteja na anastahili huduma bora. Mtu anataka auze hisa za 20k unalazimisha auze hisa za mamilioni?. Halafu soko la hisa ni kwa kila mtu,sio matajiri au maskini. Tena Tz ndo kuna sheria ngumu lazima mtu anunue angalau hisa kumi,nchi nyingine kama Nigeria unaruhusiwa kununua hata hisa moja na hisa zao kwa sasa zina bei ya chini sana kuliko za Bongo,kuna hisa hadi za Naira 40. Hata Kenya,wanaruhusu kununua hata hisa moja. Kama wewe una mabilioni basi usikwazike na wawekezaji wenye elfu 10 elfu 20,pambana na bilioni zako.
 
Issue sio Broker issue ni Unauza Hisa Kiasi Gani?Hivi kweli Mtu una Portfolio ya 50k unataka Broker akutazame seriously?mnafikiri soko la hisa ni UPATU(Ponzi scheme) au kibubu?

Kama unataka Dalali ukachukulie serious kwanza uwe mwekezaji serious Sio umenunua Vihisa Vya Milioni 20 hata mwezi haujaisha ushaanza kutaka Kuviuza upate hela ya BIA.Kama tabia yako ni hio nenda UTT huko wao hawana Brokers wala nini.

Ujumbe wangu haulengi kuwavunja moyo wawekezaji ila ni kuwaambia tu kwamba Soko la hisa ni Play Ground ya watu wenye Ukwasi na ambao wana BUY na KUHOLD na sio kila siku kuuza na kununua mnafanya SOKO linakuwa na FUJO.Hisa zinapanda Bei bila uhalisia kwa sababu ya watu ambao hawana utulivu.Wakisikia za CRDB zinapanda wanakimbizana nazo mara wakisikia sijui za nani zimeshukua wanaanza kuuza kama nyumbu.

Matokeo yake mnafanya SOKO linakuwa Volatile kiasi kwamba Biashara ya Hisa inakuwa kama ya maandazi.

Kingine Zingatieni.Kwenye mfumo wa HISA wa DSE unapoweka BUY or Sell Order sio kwamba inafanyika in real time.Yale ni kama maelekezo kwa Broker wako,Na huwa hauko mwenyewe unayefanya Buy or Sell Order.Na ili Upate Hela lazima kuwe na Order match ya Buy na Sell sio ufikiri kwamba Ukiwa Bar ukataka kulipa Bill basi unaweza tumia hisa zako za laki moja kulipa Bili.

Stock Market is not for Broke People.Stock Market is for the Rich.Watu ambao wako katika level ya Financial Freedom na Pesa zao zinawafanyia kazi.

All in all Brokers wote wako vizuri na wanafanya kazi zao vizuri.Cha muhimu hakikisha Unatembelea ofisi ya Broker waka angalau mara moja hasa ukianza kuwekeza Pesa nyingi ili ufahamu aina ya watu ambao wanasimamia Pesa zako na pia ili wakushauri vyema ni wakati gani wa kununua,kuuza aua hata kufanya Private Sell.
Acha upotoshaji, hisa ni kwa ajili ya mtu yoyote . Hisa sio za matajiri tu. Kudharau mteja kisa sio tajiri ni ushamba tena ushamba wa hali ya juu na hakuna sababu yoyote inayohalalisha kumdharau mteja kisa ana kipato kidogo. Na pia kazi ya broker ni kuuza na kununua hisa kwa ajili ya mteja,maamuzi ya mteja anauza lini, ananunua lini,ana kipato gani, HAIWAHUSU. Kama hawataki wateja wenye kipato kidogo,waweke bango wateja wasiwafate. Kama wanaona kero zaidi maana watanzania wengi wana kipato kidogo,waache udalali wa DSE watafute kazi nyingine maana kazi ziko nyingi. Kufuatilia ukwasi wa mteja bila kuombwa ni kuingilia maisha ya watu na DSE hawajawapa hilo jukumu.
 
Back
Top Bottom