Tuache ushabiki wa vyama: Nani bora kwetu, kati ya Lema na Monaban - Arusha Mjini


mkuu hapo umenena vema sisi na lema wetu na cdm yetu
 

Kama ni ukubwa wa kitambi basi bila shaka monaban ana kitambi kikubwa kuliko lema .
 
Mi naona lema ndo anafaaa kumbuka kapata misukosuko mingi sana. Ila kaja na neema tunampenda sana lema
 

Godbless J. Lema 4ever, hatuna haja na mtu anasaga mabua kisha anatuuzia eti ni DONA; Unga wenye virutubisho maridadi!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…