Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
- Thread starter
-
- #201
Kama ni hivyo anataka nini sasa? Si aendelee kuwa saidia wana Arusha ktk utaratibu huo alianzisha.Bado hajawatosheleza wahitaji.Siyo lazima awe mbunge ndo aonekane anaisaidia jamii, vinginevyo ni kutafuta mwamvuli wa kukwepea kodi maana tunaona wafanya biashara wakubwa kama yeye wanakimbilia CCM kwa lengo hilo.
mkuu hapo umenena vema sisi na lema wetu na cdm yetu
Wakuu Wana Wa Arusha Nadhani Lema Tumemjua Na Wengi Mnamjua Mtangaza Nia Huyu Kupitia Chama Magamba Tukiacha Chama Ambacho Arusha Nzima Tunakichukia. Je, Huyu Monaban Si Mwema Kwetu?
Maoni Yetu Yawe Na Kipaumbele Cha Maendeleo Ya Jimbo Si Uhafidhina Wa Chama.
Kama ni ukubwa wa kitambi basi bila shaka monaban ana kitambi kikubwa kuliko lema .
Mi naona lema ndo anafaaa kumbuka kapata misukosuko mingi sana. Ila kaja na neema tunampenda sana lema
Mi naona lema ndo anafaaa kumbuka kapata misukosuko mingi sana. Ila kaja na neema tunampenda sana lema
Hana bahati tena Lema ! game imeahirishwa na itakuja kuchezwa akiwa peke yake !
Wakuu Wana Wa Arusha Nadhani Lema Tumemjua Na Wengi Mnamjua Mtangaza Nia Huyu Kupitia Chama Magamba Tukiacha Chama Ambacho Arusha Nzima Tunakichukia. Je, Huyu Monaban Si Mwema Kwetu?
Maoni Yetu Yawe Na Kipaumbele Cha Maendeleo Ya Jimbo Si Uhafidhina Wa Chama.
Hawez cheza peke yake manake lowasa atakuwa keshaapishwa
......utasubiri sana ! wakati huo ukawa wamekata tamaa, mbowe kawekewa kitanzi kwa kuuza chama !
Hapa kazi tu !
......utasubiri sana ! wakati huo ukawa wamekata tamaa, mbowe kawekewa kitanzi kwa kuuza chama !
Hapa kazi tu !
uko kisarawe unajadili mambo ya arusha
ndoto za alinacha hizi kazi itakuja baada ya elimu elimu elimu