Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Siku za hivi karibuni kuna audio zilivuja ambapo silisikika sauti za Mzee Makamba,Membe,January,Mzee Kinana na Ngeleja wakimkejeli Rais Magufuli
Mwanzoni sie wengine tulijua labda ni uzushi tu lakini kumbe ni ile audio ni uhalisia mtupu.
January Makamba na William Ngeleja kwa kuongozwa na Hekima wamejutia kitendo chao kwa kumuomba radhi Mwenyekiti wao ambaye pia ni Rais wa Jamhuri wa Muungano Dr John Magufuli
Leo hii Rais Magufuli amenukuliwa akisema kwamba January na Ngeleja walimuomba msamaha na yeye ameamua kuwasamehe
January Makamba na William Ngeleja wameonyesha ukomavu wa fikra na zaidi ghala lililosheheni weledi lukuki kwa kitendo walichofanya
Pia nampongeza Rais Magufuli kwa uungwana wake kwa kukubali kuwasamehe vijana wake
Tuwapuuze wale wote ambao wanawazodoa January na Ngeleja kwa kitendo chao cha kiungwana walichofanya,
Hongera January Hongera Ngeleja na Kongole Mh Rais Magufuli kwa hili
Alex Fredrick
Dar es salaam
Mwanzoni sie wengine tulijua labda ni uzushi tu lakini kumbe ni ile audio ni uhalisia mtupu.
January Makamba na William Ngeleja kwa kuongozwa na Hekima wamejutia kitendo chao kwa kumuomba radhi Mwenyekiti wao ambaye pia ni Rais wa Jamhuri wa Muungano Dr John Magufuli
Leo hii Rais Magufuli amenukuliwa akisema kwamba January na Ngeleja walimuomba msamaha na yeye ameamua kuwasamehe
January Makamba na William Ngeleja wameonyesha ukomavu wa fikra na zaidi ghala lililosheheni weledi lukuki kwa kitendo walichofanya
Pia nampongeza Rais Magufuli kwa uungwana wake kwa kukubali kuwasamehe vijana wake
Tuwapuuze wale wote ambao wanawazodoa January na Ngeleja kwa kitendo chao cha kiungwana walichofanya,
Hongera January Hongera Ngeleja na Kongole Mh Rais Magufuli kwa hili
Alex Fredrick
Dar es salaam