manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,748
Mkuu hii technology kila mtu yuko na smart phone niliona watu wakiwa busy tu kuwa-record ...Aah watu hawakuwanasa makofi ?? hahaha.....daah aisee mtu ukiwa had unatoa haja ni kheri ulewe ukiwa kwako. Mjini hapa watu wataja kukubeba beba. Tehe