Watu wote wanao msifia rais hata pale ambapo haistahili hii inakuwa tena sio sifa bali ni dhihaka. Wengine wamefika hata mahali pa kumwita kuwa yeye ndiye Mungu au Yesu, hii ni dhihaka na kufuru kubwa.
Viongozi na watanzania tuache unafiki wa kutumia mwanya uliopo ili kujinufaisha. Haya mambo ya kumwita binadamu Mungu yalitokea zamani na walioitwa Mungu tunajua nini kiliwapata. Tusipende hayo yaliyowapata yatokee siku zetu.
Kama mtu unataka cheo na madaraka basi fanya kazi kwa weledi na utapata cheo kwa njia hiyo na sio kwa njia ya kusifia kinafiki. Tuache dhihaka kwa Mungu, tuache dhihaka kwa rais.
Viongozi na watanzania tuache unafiki wa kutumia mwanya uliopo ili kujinufaisha. Haya mambo ya kumwita binadamu Mungu yalitokea zamani na walioitwa Mungu tunajua nini kiliwapata. Tusipende hayo yaliyowapata yatokee siku zetu.
Kama mtu unataka cheo na madaraka basi fanya kazi kwa weledi na utapata cheo kwa njia hiyo na sio kwa njia ya kusifia kinafiki. Tuache dhihaka kwa Mungu, tuache dhihaka kwa rais.