BlackBox
Senior Member
- Nov 26, 2016
- 109
- 77
Leo waziri Biteko gavana wa benki kuu ndg Luoga, wakuu wa mikoa ya Manyara na Kilimanjaro pamoja na viongozi wengine walikua mererani kwaajili ya makabidhiano ya mawe mawili ya tanzanite yenye ukubwa tofauti. Katika zoezi hilo serikali imepata kodi ya 7% zaidi ya milioni 900.
Thamani ya mawe hayo ni bilioni 2.245 swali langu ni namna walivyosherehesha kuwa bwana Anselm Kawishe mmiliki wa mawe hayo amekua tena billionaire wa madini wakati ukitoa kodi na matumizi mengine hawezi kubakiwa hata na bilioni moja, baada ya muda wanapofilisika inaonekana walipokea fedha nyingi wakazichezea kumbe siasa ilipita humo ndani.
Waweke uhalisia huyo mfanyabiashara hajawa bilionea ni milionea tu wa kawaida hapa nchini.
Serikali inafanya kazi nzuri tumepata kodi tofauti na zamani lakini waache siasa za ubilionea uchwara.
Thamani ya mawe hayo ni bilioni 2.245 swali langu ni namna walivyosherehesha kuwa bwana Anselm Kawishe mmiliki wa mawe hayo amekua tena billionaire wa madini wakati ukitoa kodi na matumizi mengine hawezi kubakiwa hata na bilioni moja, baada ya muda wanapofilisika inaonekana walipokea fedha nyingi wakazichezea kumbe siasa ilipita humo ndani.
Waweke uhalisia huyo mfanyabiashara hajawa bilionea ni milionea tu wa kawaida hapa nchini.
Serikali inafanya kazi nzuri tumepata kodi tofauti na zamani lakini waache siasa za ubilionea uchwara.