Tuache kujichubua(skin bleaching)

Kwanza huku nyuma ya shingo maskini sijui hawajionagi au ndio vipako havireact
Wanaangalia mbele tu wakishika kioo focus Iko pale kwenye uso..ule weusi huku nyuma hawauoni.sie ndo tunauona
 
Ni sahihi muache kujikoboa.Mkifanya hivyo huwa mnafanana na ngedere kabisa.
 
Dah1Kama mwanaume anatumia kwa ushauri kitabibu sawa.Ila kama anatumia kujikoboa hilo ni tatizo hasa wanaume wengi wa kikongo.
cc;Levis,Lengos,Kambale Muyali,Petit Numbi,Uvira na papaa Kibundila wakiwa pale Kisangani Congo DR,kwa taatifa.
Sio congo..hapa Tz mbezi beach,kawe,kinondoni nk
Wamejaa tele
 
Yes Mkuu Ila. Kujichubua ni issue ya kiakili zaidi .

Una we za kusoma huu mtiririko

Self -image
Self esteem
Self confidence

So Ku-bleach is denial of self image means kuikataa picha yako ya Asili
Nimekuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…