TTCL tumerudi Nyumbani tufungulieni Milango basi!!

TTCL tumerudi Nyumbani tufungulieni Milango basi!!

Pia nashindwa kuelewa kwa nini hawa TTCL wame-opt 3G na 4G wakaacha 2G, hadi sasa sielewi sababu za msingi za wao kutokuwa na 2nd generation. Simu ndogo huwezi access mtandao wao, ukibadilisha settings za network kwenye simu yako na kuweka line nyingine kutumia 4G Ile ya TTCL inakuwa kasha haina network.

Mkurugenzi wa TTCL ajitathmini coz hicho walichoamua hawatawafikia watu wa vijijini, lakini pia watalazimika kufunga 3G network systems nchi nzima(which is costly).
Nakuelewa
 
Pia nashindwa kuelewa kwa nini hawa TTCL wame-opt 3G na 4G wakaacha 2G, hadi sasa sielewi sababu za msingi za wao kutokuwa na 2nd generation. Simu ndogo huwezi access mtandao wao, ukibadilisha settings za network kwenye simu yako na kuweka line nyingine kutumia 4G Ile ya TTCL inakuwa kasha haina network.

Mkurugenzi wa TTCL ajitathmini coz hicho walichoamua hawatawafikia watu wa vijijini, lakini pia watalazimika kufunga 3G network systems nchi nzima(which is costly).
Hpo nimekuelewa
 
Rudi nyumbani kumenoga......ila bado wametufungia mikango....tufungulieni mpaka hizi nyumba zenu za vijijini.
 
Ila kweeli bando zake za chuo ni nzuri ila coverage ni ndogo sana..... Me enyewe nipo mbeya town hapa Lakin nikiingia ndani net yote inakata na line inaandika emergency
 
Back
Top Bottom